RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,734
- 11,461
Wakuu nimemuombea mtu second selection na nimemaliza.Lakini nikijaribu Ku log in huu ujumbe hapa chini bado unarudi nashindwa kuelewa sababu nini?.
Kwahyo hapo ina maanisha nn?Huo upo kwa watu wote wa second selection ucwaze kuhusu hilo halina effect
ukitaka kuona competition utakufa kwa presha wew jaza tu af mute subil round ya #3Mbona kwenye profile zetu za TCU kwa sisi ambao tunafanya second selection haionyeshi competition ilivyo kwa walio apply first priority na kuendelea