Nimemchoka huyu mwanamke nataka ni mbwage kistaarabu kuepuka karma ila haelewi kabisa

Solution ni Moja mwambie unavyojisikia na Kwamba yeye ndio chanzo.


Halafu sikiliza reaction yake na the way unavyojisikia baada ya kumwambia.


Baada ya hapo utafanya uamuzi mmoja.

Mimi niliwahi kuws na mmoja alininyanyasa mwanzoni mwa mahusiano ikafika stage upendo wangu ukapotea kabisa nikawa nipo nipo tu wakati yeye Sasa ndio akaanza kukolea

Kwangu aligeuka kero.

Nilishi na hio Hali miezi5 maisha yangu nikaona naanza poteza focus sababu ya mapenzi nikamchana live Mimi nauvunja huu uhusiano japo sikumpa Sababu halisi nilimpa zingine kabisa.

Alinilaumu sana akatuma meseji kibao Wala sikujisumbua kuzisoma nikawa tu nazifuta juu kwa juu.

I started my new life again with new energy.

Mapenzi yakifa stage ni karaha kwako piga chini

Wanaume wengi wanakufa kwa complications zinazosababishwa na msongo wa mawazo.

Take care of yourself fellas.
Itabidi nifanye hivi alafu nimuone anakuaje
 
Habari zenu wana Jf.

Katika maisha na mazingira ya kumfukuzia huyu binti alinisumbua sana wakati na mtongoza kiasi cha kujikatia tamaa sana na kumpuuza mno. Nakumbuka nilimfukuzia yapata miezi mitano mfululizo huku nikimsihi, kumbembeleza na hata kutafuta basi huruma zake japo kidogo bila mafanikio yoyote yale, kweli nilimpenda sana na kila nikimfikiria basi nilikua naumia kihisia huku nikijitahidi kujaribu kila mbinu na zikagonga mwamba zote .

Siku moja nimelala nikashtuka usiku mithili ya mtu anayekata pumzi nikajikuta tuu najiambia huyu mwanamke ataniua nikaamua kumpuuza tuu na kumpotezea japo ilikua ngumu maana alishaanza kuniingia moyoni na kweye damu.

Siku zilienda nimekaa zangu busy na kusaka maokoto huku nikiwa nimejikatia tamaa na wala simtafuti huku nipo busy na pisi zingine, ghafla nashangaa huyo kanicheck yeye mwenyewe na kuanza kujitongozesha huku akinilaumu nimemsusa mwamba nikawa sina habari ila baadae ili bidi kama mwanaume nisikatae mwanamke bali nitengeneze namna awe wangu tuu kiaina japo haikutoka moyoni kama mwanzoni.

Tumeanzisha nae mahusiano na sasa yanaenda sawa tuu binti hana shida kabisa ila kila nikikumbuka alivyo nitesa kihisia , kasababisha nimeaibika sana najikuta na mchukia sana na pindi ni wapo nae nakua mwenye hasira sana akiongea chochote kile kiwe kizuri au kibaya na kasirika sana kwa kweli, pia nikiwa na nyandua na mnyandua kwa uchungu kama kumlipia kisasi kabisa . Namtesa sana kwenye mnyanduano ni mwendo wa hardcore mpaka hasira ziishe ila wapi

Ndugu zangu mahusiano hayajamaliza hata miezi miwili ila baada ya kumnyandua sana kibabe mara kadhaa sasa nimejikuta kumchoka sana, nimemfanyia visa ndani ya muda mfupi ili ajiongeze lakini ni kama haelewi kabisa. Najaribu kila mbinu ya kuachana nae kwa amani ila binti haelewi somo na ndiyo kwanza kila nikiwa zangu busy ana nikumbuka na anazidisha upendo sana, ananijali, ana care kwa kila hali na mwenye huruma sana na hata hela aombi na ikitokea kaomba basi anaanza na samahani ila anaomba hela kidogo sana tuu.

Mimi sina haja na upendo wake tena maana alinitesa sana wakati na mfukuzia , na nilishamkatia tamaa na sasa nimemwoshesha kila dalili simhitaji tena ila masikini haelewi kabisa ndo kwanza anazidisha upendo zaidi

Kuna kipindi analia sana , anaongea kwa huzuni na masikitiko sana lakini mimi hata huruma sina tena, nataka ni mwache aendezake kiroho safi ila naona kabisa atanilaani kama ataenda kwa manung'uniko

Ndugu mimi siogopi laana zake japo sitaki manung'uniko yake, ila kikubwa nataka aende kwa amani na imeshindikana sasa na kila nikimtafutia makosa amekua wa kujishusha sana na kuomba msamaha sana mpaka namshangaa mno

Sasa sijui ni tumie mbinu ipi aende kwa amani huyu binti maana ni mwema sana ila basi tuu akinitesa mno acha aende na naamini atakua kajifunza hatotesa wanaume tena wakiwa wanamtongoza.

Wakuu hebu nambieni ni mfanyaje aende kwa amani ili kuepuka karma maana naona kabisa asipo nisikia kunadalili ya kumfanya single mother
Mapenzi huyawezi achana nayo kenge wew
 
Hawa wanawake ndivyo walivyo mkuu, acha kuweka vinyongo wewe kaa na mama hiyo au kama huwezi nipe namba zake nimwambie humtaki.
 
Wakati unamfukuzia huyo demu alikuwa na bwana ake aliyempenda sanaaa cos alimuahidi kumuoa na vitu kibao,ila jamaa akaja kumwaga akapita zake hivi,ndo akakumbuka kuna kajitu kalikuwa kanamtongoza ngoja ajilengeshe ili awe tu kwenye mahusiano.

Anachofanya hapo sahizi ni kujaribu kukuweka karibu,ili usimpige kibuti kama jamaa yake,ila moyoni bado anampenda huyo jamaa yake na lazima kuna muda huwa anapost post status ili mwamba aone(wewe ana ku mute).

Jamaa akishaona demu aliyemmwaga ana furaha,ataamua kurudisha majeshi ili awe anajipigia kama zamani,japo hatakuwa tayari kuwa naye kama zamani.

Hapo demu ataanza dharau kwako,sasa kabla haya yote hayaja jiri,fanya ku act mapema kabla demu haja act.

PIGA CHINI HIYO KUKU YA BULUU MAPEMA SANA.
 
Habari zenu wana Jf.

Katika maisha na mazingira ya kumfukuzia huyu binti alinisumbua sana wakati na mtongoza kiasi cha kujikatia tamaa sana na kumpuuza mno. Nakumbuka nilimfukuzia yapata miezi mitano mfululizo huku nikimsihi, kumbembeleza na hata kutafuta basi huruma zake japo kidogo bila mafanikio yoyote yale, kweli nilimpenda sana na kila nikimfikiria basi nilikua naumia kihisia huku nikijitahidi kujaribu kila mbinu na zikagonga mwamba zote .

Siku moja nimelala nikashtuka usiku mithili ya mtu anayekata pumzi nikajikuta tuu najiambia huyu mwanamke ataniua nikaamua kumpuuza tuu na kumpotezea japo ilikua ngumu maana alishaanza kuniingia moyoni na kweye damu.

Siku zilienda nimekaa zangu busy na kusaka maokoto huku nikiwa nimejikatia tamaa na wala simtafuti huku nipo busy na pisi zingine, ghafla nashangaa huyo kanicheck yeye mwenyewe na kuanza kujitongozesha huku akinilaumu nimemsusa mwamba nikawa sina habari ila baadae ili bidi kama mwanaume nisikatae mwanamke bali nitengeneze namna awe wangu tuu kiaina japo haikutoka moyoni kama mwanzoni.

Tumeanzisha nae mahusiano na sasa yanaenda sawa tuu binti hana shida kabisa ila kila nikikumbuka alivyo nitesa kihisia , kasababisha nimeaibika sana najikuta na mchukia sana na pindi ni wapo nae nakua mwenye hasira sana akiongea chochote kile kiwe kizuri au kibaya na kasirika sana kwa kweli, pia nikiwa na nyandua na mnyandua kwa uchungu kama kumlipia kisasi kabisa . Namtesa sana kwenye mnyanduano ni mwendo wa hardcore mpaka hasira ziishe ila wapi

Ndugu zangu mahusiano hayajamaliza hata miezi miwili ila baada ya kumnyandua sana kibabe mara kadhaa sasa nimejikuta kumchoka sana, nimemfanyia visa ndani ya muda mfupi ili ajiongeze lakini ni kama haelewi kabisa. Najaribu kila mbinu ya kuachana nae kwa amani ila binti haelewi somo na ndiyo kwanza kila nikiwa zangu busy ana nikumbuka na anazidisha upendo sana, ananijali, ana care kwa kila hali na mwenye huruma sana na hata hela aombi na ikitokea kaomba basi anaanza na samahani ila anaomba hela kidogo sana tuu.

Mimi sina haja na upendo wake tena maana alinitesa sana wakati na mfukuzia , na nilishamkatia tamaa na sasa nimemwoshesha kila dalili simhitaji tena ila masikini haelewi kabisa ndo kwanza anazidisha upendo zaidi

Kuna kipindi analia sana , anaongea kwa huzuni na masikitiko sana lakini mimi hata huruma sina tena, nataka ni mwache aendezake kiroho safi ila naona kabisa atanilaani kama ataenda kwa manung'uniko

Ndugu mimi siogopi laana zake japo sitaki manung'uniko yake, ila kikubwa nataka aende kwa amani na imeshindikana sasa na kila nikimtafutia makosa amekua wa kujishusha sana na kuomba msamaha sana mpaka namshangaa mno

Sasa sijui ni tumie mbinu ipi aende kwa amani huyu binti maana ni mwema sana ila basi tuu akinitesa mno acha aende na naamini atakua kajifunza hatotesa wanaume tena wakiwa wanamtongoza.

Wakuu hebu nambieni ni mfanyaje aende kwa amani ili kuepuka karma maana naona kabisa asipo nisikia kunadalili ya kumfanya single mother
Omba ndogo
 
Back
Top Bottom