UpiiUfei
Hahaha
Bilal alikuwaga hana shida mwenyewe. Kazi kufungua masoko, vikoba, benki, nk
Sasa VP wa saa hizi ata fabya nn uchumi umedorora vya kufungua ni vichache, Rais anapenda kuwa font fedi hadi benki ya crdb anafungua mwenyewe. Na kwakuwa vya kufungua ni vichache basi mama inabid akae ofisin tuu.
Nime miss enzi za Rais Kikwete
Masahihisho kidogo ni tawi la bank hahahaaaa
Hahaha mzee utepeWalimpa jina Mzee wa utepe. Anatembea na mkasi
Comment nyingine zinafurahisha sana aisee. Yaani anatembea na mkasi kwenye mfuko wa koti?Walimpa jina Mzee wa utepe. Anatembea na mkasi
Upili not upiiUpii
SawaUpili not upii