Nimelisikia mara nyingi sana hili

Nimelisikia mara nyingi sana hili

Status
Not open for further replies.
GG hii inashwauriwa tu sio lazma uvue kama unaamini nguo yako ya ndani ni safi swalia...na hii inatokana na kuwa mkojo ni najisi..sasa kama ujuavyo unaweza kwenda haja marakwamara na nguo yako ya ndani ikapata mwagikiwa mkojo hapa utakosa udhu kwa hofu ndo maana tunavua.(KWA NIJUAVYO)

Kwa mtazamo wako ustaadhat, unaona nini ni najisi zaidi ya kingine: mwili mchafu au roho chafu?
 
Inategemeana.. ila sio lazima
Sababu ipi mkuu hebu iseme tu
Mchangiaji mmoja kaishatoa sababu ya kutovaaa hiyo pichu - usafi ila kuna sababu nyingine ambayo ikisemwa hapa ... dah! noma

Umenikumbusha dem wangu mmoja ... enzi za miaka ya 90; sikuwahi hata siku moja kumkuta kavaa chu.pi .. kisa eti dar kuna joto sana
 
Wewe kweli hauna hoja kwani msahafu haujatafsiriwa wote???????
Kwa ufupi tu ni kuwa hata wanaume huwa hawaruhusuiwi kwenda kusali na nguo ya ndani ambayo inabana kama chupi au skin tight. So hiyo issue ya kusema ni wanawake peke yao si kweli na hakuna ajabu ni sawa tu na mtu anavyoenda kusali bila kuvaa viatu wakati wewe kwenye imani yako unavaa viatu.Wanaokisoma kitabu kile na wakakielewa wanaingia katika dini kwa hiyari yao.Sio kama wewe unatafsiriwa na kwa chuki bila lazima utaona cha kushangaza.

Usiwe na chuki kama baba yako Trump kijana.

Hasira ya nini dogo! ukweli utabaki palepale ... mambo yenu ni ya ajabu ajabu tu - hilo linajulikana ulimwengu mzima. Sina chuki hata kidogo ina sipendi kufichaficha mambo..
 
Mchangiaji mmoja kaishatoa sababu ya kutovaaa hiyo pichu - usafi ila kuna sababu nyingine ambayo ikisemwa hapa ... dah! noma

Umenikumbusha dem wangu mmoja ... enzi za miaka ya 90; sikuwahi hata siku moja kumkuta kavaa chu.pi .. kisa eti dar kuna joto sana
Nimeuliza kwa ile mida ya kwenda mckitini tu
 
Heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Makubwa haya.

Unaswaligi msikiti gani niwe nakuja kukupa lift free..
mimi nipo hivi hivi sio kwa ajili ya msikiti mimi popote sivai .sina hata chupi wala sijui bei zake au zinauzwa wapi hazinihusu
 
Kwa mtazamo wako ustaadhat, unaona nini ni najisi zaidi ya kingine: mwili mchafu au roho chafu?
Katika najisi zilizowahi kuainishwa kwenye vitabu sijawahi kuona roho ikizungumziwa(kwa nijuavyo)..najua mbwa,nguruwe,damu na mkojo nk...Lakini kama umemaanisha kipi ni kibaya zaidi kwa muislam au mwanadamu kati ya mwili mchafu au roho chafu ningesema ROHO CHAFU mana mwili ni rahisi ukaoshwa kwa kuoga mara moja na ukawa safi..lakini roha utata mtupu.
 
kuna wanawake wanavaa chupi miaka hii?
mimi toka nilivoachana na nepi na kujitambua sijawai na sitokaa
cha kujitesa na mambo ya mkoloni?
Ndiyo maana mnapata magonjwa ya ngozi. wrote me na me tunatakiwa kuvaa chupi zilizotengenezwa kwa Pamba asilimia mia, ili zikaushe jasho hapo makao makao makuu ya Ngono.
 
GG hii inashwauriwa tu sio lazma uvue kama unaamini nguo yako ya ndani ni safi swalia...na hii inatokana na kuwa mkojo ni najisi..sasa kama ujuavyo unaweza kwenda haja marakwamara na nguo yako ya ndani ikapata mwagikiwa mkojo hapa utakosa udhu kwa hofu ndo maana tunavua.(KWA NIJUAVYO)
umejibu vema bila shaka
 
Ndiyo maana mnapata magonjwa ya ngozi. wrote me na me tunatakiwa kuvaa chupi zilizotengenezwa kwa Pamba asilimia mia, ili zikaushe jasho hapo makao makao makuu ya Ngono.
magonjwa ya ngozi yanasababishwa na kuvaa au kutovaa chupi?
 
GG hii inashwauriwa tu sio lazma uvue kama unaamini nguo yako ya ndani ni safi swalia...na hii inatokana na kuwa mkojo ni najisi..sasa kama ujuavyo unaweza kwenda haja marakwamara na nguo yako ya ndani ikapata mwagikiwa mkojo hapa utakosa udhu kwa hofu ndo maana tunavua.(KWA NIJUAVYO)
Saidia na hili swali Tafadhali. " je, ni kweli wanaume wanatakiwa kukojoa wakiwa wamechuchumaa kama wanawake?"
 
Sijui atajibu au ataacha ...

Kumuua kafir swafi .. kutovaa nguo za ndani ...?
Nimemjibu tayari...Lakini hiki ulichokimaanisha wewe kina ligi pana ambayo inahitaji mtu anayeyajua mambo kiundani ndio atajua kwanini watu wanauana kwa kivuli cha dini hizi mbili..kubwa nilijua na maslahi ya kiuchumi wa dunia yaliyobebesha kivuli cha DINI NA SIASA...tuendelee na mada aliyoileta GG.
 
Nimekosa cha kuandika hapa, ila kifupi tuu hakuna maandiko ktk uislam yanasema mwanamke asivae chupi, huyo aliesema kuna maandiko aache kucheza na iman za watu, kuvaa ama kutovaa ni maamuzi ya muhusika, dini inakataza vitu najis kama mkojo nk, ila kama una hakika chupi iko smart kwa nn asivae? Kingine kixur zaidi hatuchanganyiki wake kwa waume ktk ibada.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom