Nimelala fresh kabisa

Nimelala fresh kabisa

Mbimbinho

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2009
Posts
8,328
Reaction score
7,804
Devi alichelewa kujiunga na chuo, hivyo alipofika akakuta kuna kitanda kimoja tu kimebaki katika chumba ambacho kulikuwa na mwanachuo ambae wenzake wote waligoma kulala nae chumba kimoja, maana alikuwa anakoroma mpaka kulala inakuwa haiwezekani. Devi akataarifiwa kuhusu tatizo hilo na kuambiwa kuwa wote waliojaribu kulala chumba kimoja na jamaa walikesha macho mpaka asubuhi kwa kero ya mkoromo wa jamaa. Devi akawaambia dawa amekwisha ipata. Kesho yake asubuhi, Devi kaamka fresh tayari kwa breakfast, wenzie wakamuuliza kama alilala vizuri,
DEVI; Nimelala fresh kabisa bila matatizo, si mnaniona?.
Jamaa wakamuuliza alitumia dawa gani?
DEVI: Nilipoingia jana chumbani nikamsalimia jamaa vizuri. Kisha nikamsifu kuwa ye mzuri sana. Na nilikuwa namkumbushia mara kwa mara kuwa sijawahi kuona mwanaume ana sura nzuri kama yeye, NAONA JAMAA AKAAMUA KUTOLALA
 
Hahahahahahahahahaha, daaaahhh, Devi the mzee wa mombasa
 
Duh, nadhani itabidi jamaa awe analala mchana, usiku mkesho!
 
Halafu siku ya 2 devi akanunua KY akaiweka juu ya meza.Hapo sasa mtamalizia wenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom