R Rohore Senior Member Aug 22, 2015 102 38 Nov 30, 2015 #161 malimingiii said: A=B, hapo wala hamna madhara maana mnajuana kwa vilemba Click to expand... Mkuki kwa nguruwe.Mbona yeye hajakustaki JF?.Wote washirikina so mnaendana kwa kila kitu muoane tu na anakufaa sana tu.
malimingiii said: A=B, hapo wala hamna madhara maana mnajuana kwa vilemba Click to expand... Mkuki kwa nguruwe.Mbona yeye hajakustaki JF?.Wote washirikina so mnaendana kwa kila kitu muoane tu na anakufaa sana tu.
habari ya hapa JF-Expert Member Dec 20, 2012 12,791 8,739 Nov 30, 2015 #162 Kwani ww ulifuta nini huko
N nyani kipera Member Nov 29, 2015 9 5 Nov 30, 2015 #163 Wote hamfai , c mtatiana uchizi kwa kurogana
habari ya hapa JF-Expert Member Dec 20, 2012 12,791 8,739 Nov 30, 2015 #164 Mungu amekupa wa kufanana nae usiogope
M mendemende New Member Feb 11, 2011 3 1 Nov 30, 2015 #165 inaonekana wewe humfurahishi aliolewa tu nawe kwa kukosa mbadala ....hapo una hatari mzee