wilchuma JF-Expert Member Joined May 16, 2013 Posts 1,102 Reaction score 333 May 28, 2015 #21 kwahiyoo!
I issa ramadhani JF-Expert Member Joined Nov 11, 2014 Posts 1,319 Reaction score 260 May 28, 2015 #22 mimi nilimuona huku yorkshire asubuhi ya leo,nilimsikia anasema kuwa jana alikuwa barmingham
Kigogo JF-Expert Member Joined Dec 14, 2007 Posts 20,508 Reaction score 6,199 May 28, 2015 #23 MUSSA ALLAN said: Alikwenda kucheki mihamala ya akaunti zake huko! Click to expand... Mihamala ndio nini? Au ulimaanisha miamala? Au unaandika huku unakunya?
MUSSA ALLAN said: Alikwenda kucheki mihamala ya akaunti zake huko! Click to expand... Mihamala ndio nini? Au ulimaanisha miamala? Au unaandika huku unakunya?
kyanaKyoMuhaya JF-Expert Member Joined Jul 8, 2012 Posts 1,952 Reaction score 939 May 28, 2015 #24 Ukitaka kuwafaidi nenda DUBAI AU DOHA. Ni watalii acha! Si chama tawala au pinzani. WORLD TROTTER.
gfsonwin JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 18,272 Reaction score 20,716 May 28, 2015 #25 Zakumi said: Yupo kwenye mkutano wa FIFA. Click to expand... Zakumi ujue sijakuzoea ukiwa na kauli za vichekesho kama hivi ama kweli wee utakuwa ni baba bora sana manake una mzaha mahal pa watoto Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Zakumi said: Yupo kwenye mkutano wa FIFA. Click to expand... Zakumi ujue sijakuzoea ukiwa na kauli za vichekesho kama hivi ama kweli wee utakuwa ni baba bora sana manake una mzaha mahal pa watoto
G geraldkowero1 JF-Expert Member Joined Jul 5, 2014 Posts 1,838 Reaction score 647 May 28, 2015 #26 mshumbue-soi said: ndo unasafiri mara ya kwanza nini? Kama umekutana naye tuma salamu kwa watu watatu? Click to expand... Zurichi haipo kwa Mtogole. Mwelezeni aanzie Zenj kwanza. Nina hakika hata kwenye ramani hawezi kuionyesha Zurich ilipo.
mshumbue-soi said: ndo unasafiri mara ya kwanza nini? Kama umekutana naye tuma salamu kwa watu watatu? Click to expand... Zurichi haipo kwa Mtogole. Mwelezeni aanzie Zenj kwanza. Nina hakika hata kwenye ramani hawezi kuionyesha Zurich ilipo.
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 10,920 Reaction score 10,175 May 28, 2015 #27 Hapo Chadema ianze kusafisha kwanza wanachama wake vilaza. Yaani huyu nae eti mwana Chadema,mbona uelewa wake mdogo sana ukilinganisha na wanachama wao wachache wenye uelewa na sio wafuata mkumbo?
Hapo Chadema ianze kusafisha kwanza wanachama wake vilaza. Yaani huyu nae eti mwana Chadema,mbona uelewa wake mdogo sana ukilinganisha na wanachama wao wachache wenye uelewa na sio wafuata mkumbo?