Anonymous
Senior Member
- Apr 6, 2006
- 127
- 353
Salamu zifike kwenu " Waungwana
Wakati sehemu " kubwa ya Jamii yetu ikiendelea kuzua taharuki na lawama dhidi ya Mmong'onyoko wa kimaadili uliopo sasa na kuendelea kuvuma kwa kasi ya moto wa petrol " Moto ambao umepelekea kuyafanya mahusiaono yetu ya Mapenzi kufikwa na changamoto ya kutoweka kwa Utu.Upendo wa dhati " na upotevu wa soni (haya) Na kusababisha kila mtu awe analia kilio cha aina yake baada ya kutendwa na mpenzi wake/aliyekuwa mpenzi wake "
Huku ikibainika kwamba kichochezi kikubwa ni tamaa " ni wazi kwamba "sote humu tumekuwa washuhuda wa matukio mbali mbali " ambayo yametupatia experience za kutosha "iwe nikutoka kwa Watu wanao tuzunguka au sisi wenyewe na kutufanya tuingiwe na hofu ya kutowaamini wenza wetu tunapokuwa nao katika mahusiano "
a) wanaume tuna walaumu wanawake kuwa sio wa kweli " wana tamaa ya mali na niwapenda pesa walio kubuhu "wame poteza utu " na vimelea vyote vya upendo
(b) hali pia iko hivyo hivyo kwa wanawake pia " imani yao dhidi yetu wanaume imekufa " wanalalamika kwamba wanaume haturidhiki. Hatufadhiliki " tumekuwa ni watu tusiojali na tunao endekeza mno umalaya " kufanya usaliti imekuwa ni sehemu ya maisha yetu "
(c) naomba nitamke tu wazi kuwa na mimi (me) nilikuwa miongoni ya watu ambao wana imani finyu (haba) dhidi ya hawa wanawake wa sasa " tokana na wengi kuwa na mienendo ambayo haisadifu upendo " .wala utu ".
****** ******** ******* *******
Je nimekutana na malaika !!?
hili ndio swali ambalo limekuwa linaitafuna akili yangu na kunifanya nijiulize kila saa " na nisipate jibu "
(A) imepita miezi mi-tatu sasa " tangu nikutane 'na mwanamke ambaye ana Tabia za tofauti sana ambazo hazipaswi kuchanganywa pamoja na hawa wanawake wengi wa sasa " ... kwanza binti anajitosheleza " kielimu " kiuchumi " mpaka kihekima " tabia zake zimejaa kweli"toka rohoni " muda wote amekuwa anaonyesha kwamba ananijali sana mimi kuliko hata wallet yangu " hajawahi kuthubutu hata kuuruhusu ulimi wake unitamke neno " naomba hela " (nikasuke. Ninue voucher . Ninunue umeme gesi imeisha " nataka nikafanye shopping ya kitu fulani' nataka nijaze mafuta .nataka nilipe kodi) wanaume wenzangu nadhani wenyewe Tabia hizi mmeshakutana nazo " zile text za baby ni kwambie kitu kwa huyu binti hazipo kabisa " na kwakupitia yeye nimesha anza kuzisahau "
(B) nilikuwa nimeshaamua kujiweka mbali kabisa na kujihusisha na haya mahusiano bandia yaliyopo mioyoni mwetu kwa sisi binaadamu wa wakati huu " ..nitamke tu wazi nilikuwa mzee wa hit and run " ... lakini tangu binti huyu aje katika maisha yangu na jihisi kuzaliwa upya .. binti amenifanya nijihisi kuitawala ardhi na mbingu ' kila kukicha ananifanya nifikirie zaidi kubaki na yeye " Anauwezo mkubwa sana wakufikiri " ana ushawishi wa kimaongezi " uliopambwa na mpangilio wa maneno mazuri " yenye mchanganyiko wa sauti yenye Utamu mithili ya ladha ya chocolate " .Zaidi ya yote huwa nafurahishwa na Jinsi ambavyo huwa ananieleza mikakati mbali mbali ya sisi kuweza kufanikisha malengo yetu (kiuchumi "kiafya" na kimapenzi ) Ambayo tumejiwekea " Hakika anani staajabisha '"
(C)nilishazoea kuombwa ombwa hela nilishazoea ( lakini kwa huyu binti story nitofauti kabisa nimpaka nijiongeze mwenyewe) " kutamkiwa maneno ya kukatisha tamaa " nilishazoea kutoungwa mkono katika mipango yangu niliyo kuwa naifanya " ... unaishi na mwanamke lakini the way anavyotaka kukuchokonoa utadhani ni mshirika mkuu mwenzio wa biashara/kampuni " hawana sweet tongue kabisa " anaweza kushinda kutwa nzima hata kuku tumia text ya kukujulia hali anashindwa" maneno ya pole "samahani .Asante kwake " ni Anasa kuyatamka " na tabia kibao mbaya mbaya (Achilia mbali kukosa uaminifu) ambazo ni hasi zinazo sababisha Upendo kuweza kufa (kutoweka)
Nimalizie tu kwa kutoa Rai kwa wanaume wenzangu " Jamani wanawake wastaarabu wapo " msikate Tamaa endeleeni kutafuta mtawapata " lakini katika kuwatafuta huko mnapaswa kuwa na subira " pia muwe mnaangalia na wanawake wakuongea nao " Maana hawa wanawake ambao ni wastaarabu wamebaki wachache mnoo tena katika hili nilikuwa naiomba serikali ya JMT iingilie kati na kujenga sera itakayo weza kuwalinda hawa viumbe wesiweze kutoweka kabisa " uwepo wao utakuwa ni chachu ya kimaadili kwa jamii husika na kuwafanya watu wengine waige ustaarabu wao " utakao pelekea kuitengeneza Tanzania mpya yenye watu waliostaarabika zaidi katika mahusiano "...
Though mpenzi huwa hatafutwi kama pesa bali huwa anajileta au analetwa na wakati stahiki/sahihi " huku kutafuta tafuta hovyo ndio sababu kubwa inayopelekea " tukutane na watu ambao hawafanani na taratibu zetu tunazo zipenda na kutuvutia "
nakupenda sana x " Malaika wangu Mungu akujaalie Baraka uzima na upendo kwa watu wote maradufu " ... wabarikiwe wazazi wako pia kwa kukulea vyema mpaka kufanikiwa kuku-shape" hatimae Leo umekuwa hivyo mwenye Tabia njema ambayo ni faida kwa watu wengine ...
Najua unaogopa Jongoo hahaa leo namleta Aisee ndani lazima pachimbike "(kidding)
Wakati sehemu " kubwa ya Jamii yetu ikiendelea kuzua taharuki na lawama dhidi ya Mmong'onyoko wa kimaadili uliopo sasa na kuendelea kuvuma kwa kasi ya moto wa petrol " Moto ambao umepelekea kuyafanya mahusiaono yetu ya Mapenzi kufikwa na changamoto ya kutoweka kwa Utu.Upendo wa dhati " na upotevu wa soni (haya) Na kusababisha kila mtu awe analia kilio cha aina yake baada ya kutendwa na mpenzi wake/aliyekuwa mpenzi wake "
Huku ikibainika kwamba kichochezi kikubwa ni tamaa " ni wazi kwamba "sote humu tumekuwa washuhuda wa matukio mbali mbali " ambayo yametupatia experience za kutosha "iwe nikutoka kwa Watu wanao tuzunguka au sisi wenyewe na kutufanya tuingiwe na hofu ya kutowaamini wenza wetu tunapokuwa nao katika mahusiano "
a) wanaume tuna walaumu wanawake kuwa sio wa kweli " wana tamaa ya mali na niwapenda pesa walio kubuhu "wame poteza utu " na vimelea vyote vya upendo
(b) hali pia iko hivyo hivyo kwa wanawake pia " imani yao dhidi yetu wanaume imekufa " wanalalamika kwamba wanaume haturidhiki. Hatufadhiliki " tumekuwa ni watu tusiojali na tunao endekeza mno umalaya " kufanya usaliti imekuwa ni sehemu ya maisha yetu "
(c) naomba nitamke tu wazi kuwa na mimi (me) nilikuwa miongoni ya watu ambao wana imani finyu (haba) dhidi ya hawa wanawake wa sasa " tokana na wengi kuwa na mienendo ambayo haisadifu upendo " .wala utu ".
****** ******** ******* *******
Je nimekutana na malaika !!?
hili ndio swali ambalo limekuwa linaitafuna akili yangu na kunifanya nijiulize kila saa " na nisipate jibu "
(A) imepita miezi mi-tatu sasa " tangu nikutane 'na mwanamke ambaye ana Tabia za tofauti sana ambazo hazipaswi kuchanganywa pamoja na hawa wanawake wengi wa sasa " ... kwanza binti anajitosheleza " kielimu " kiuchumi " mpaka kihekima " tabia zake zimejaa kweli"toka rohoni " muda wote amekuwa anaonyesha kwamba ananijali sana mimi kuliko hata wallet yangu " hajawahi kuthubutu hata kuuruhusu ulimi wake unitamke neno " naomba hela " (nikasuke. Ninue voucher . Ninunue umeme gesi imeisha " nataka nikafanye shopping ya kitu fulani' nataka nijaze mafuta .nataka nilipe kodi) wanaume wenzangu nadhani wenyewe Tabia hizi mmeshakutana nazo " zile text za baby ni kwambie kitu kwa huyu binti hazipo kabisa " na kwakupitia yeye nimesha anza kuzisahau "
(B) nilikuwa nimeshaamua kujiweka mbali kabisa na kujihusisha na haya mahusiano bandia yaliyopo mioyoni mwetu kwa sisi binaadamu wa wakati huu " ..nitamke tu wazi nilikuwa mzee wa hit and run " ... lakini tangu binti huyu aje katika maisha yangu na jihisi kuzaliwa upya .. binti amenifanya nijihisi kuitawala ardhi na mbingu ' kila kukicha ananifanya nifikirie zaidi kubaki na yeye " Anauwezo mkubwa sana wakufikiri " ana ushawishi wa kimaongezi " uliopambwa na mpangilio wa maneno mazuri " yenye mchanganyiko wa sauti yenye Utamu mithili ya ladha ya chocolate " .Zaidi ya yote huwa nafurahishwa na Jinsi ambavyo huwa ananieleza mikakati mbali mbali ya sisi kuweza kufanikisha malengo yetu (kiuchumi "kiafya" na kimapenzi ) Ambayo tumejiwekea " Hakika anani staajabisha '"
(C)nilishazoea kuombwa ombwa hela nilishazoea ( lakini kwa huyu binti story nitofauti kabisa nimpaka nijiongeze mwenyewe) " kutamkiwa maneno ya kukatisha tamaa " nilishazoea kutoungwa mkono katika mipango yangu niliyo kuwa naifanya " ... unaishi na mwanamke lakini the way anavyotaka kukuchokonoa utadhani ni mshirika mkuu mwenzio wa biashara/kampuni " hawana sweet tongue kabisa " anaweza kushinda kutwa nzima hata kuku tumia text ya kukujulia hali anashindwa" maneno ya pole "samahani .Asante kwake " ni Anasa kuyatamka " na tabia kibao mbaya mbaya (Achilia mbali kukosa uaminifu) ambazo ni hasi zinazo sababisha Upendo kuweza kufa (kutoweka)
Nimalizie tu kwa kutoa Rai kwa wanaume wenzangu " Jamani wanawake wastaarabu wapo " msikate Tamaa endeleeni kutafuta mtawapata " lakini katika kuwatafuta huko mnapaswa kuwa na subira " pia muwe mnaangalia na wanawake wakuongea nao " Maana hawa wanawake ambao ni wastaarabu wamebaki wachache mnoo tena katika hili nilikuwa naiomba serikali ya JMT iingilie kati na kujenga sera itakayo weza kuwalinda hawa viumbe wesiweze kutoweka kabisa " uwepo wao utakuwa ni chachu ya kimaadili kwa jamii husika na kuwafanya watu wengine waige ustaarabu wao " utakao pelekea kuitengeneza Tanzania mpya yenye watu waliostaarabika zaidi katika mahusiano "...
Though mpenzi huwa hatafutwi kama pesa bali huwa anajileta au analetwa na wakati stahiki/sahihi " huku kutafuta tafuta hovyo ndio sababu kubwa inayopelekea " tukutane na watu ambao hawafanani na taratibu zetu tunazo zipenda na kutuvutia "
nakupenda sana x " Malaika wangu Mungu akujaalie Baraka uzima na upendo kwa watu wote maradufu " ... wabarikiwe wazazi wako pia kwa kukulea vyema mpaka kufanikiwa kuku-shape" hatimae Leo umekuwa hivyo mwenye Tabia njema ambayo ni faida kwa watu wengine ...
Najua unaogopa Jongoo hahaa leo namleta Aisee ndani lazima pachimbike "(kidding)