appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 4,896
- 1,642
- Thread starter
- #21
sikubaka nilikua nimepanda juu ya mnazi namchungulia ndio maana kulikua hakuna ushahidi nikaachiwa bada ya kukaa kama mweziAstaghafirullah,,.....wewe ulibaka kweli wala hukusingiziwa kama una guts za kuzini juu ya viumbe wa Mungu ambao wamemaliza siku zao za kuishi hapa Dunian (kwenye kaburi) ambapo naww cku moja utakufa na utazikwa kama walivyozikwa wenzio,,..hmm unaroho nzito nawala huoni haya kueleza upuuzi kama huo......,,Mungu akusamehe na akupe ufahamu wa kuyaendea mema,,...!!