Nimekutana na jini Kinondoni makaburini

Astaghafirullah,,.....wewe ulibaka kweli wala hukusingiziwa kama una guts za kuzini juu ya viumbe wa Mungu ambao wamemaliza siku zao za kuishi hapa Dunian (kwenye kaburi) ambapo naww cku moja utakufa na utazikwa kama walivyozikwa wenzio,,..hmm unaroho nzito nawala huoni haya kueleza upuuzi kama huo......,,Mungu akusamehe na akupe ufahamu wa kuyaendea mema,,...!!
sikubaka nilikua nimepanda juu ya mnazi namchungulia ndio maana kulikua hakuna ushahidi nikaachiwa bada ya kukaa kama mwezi
 
Nawasiwasi kesi yako iliyokupeleka segerea hawajakusingizia binadamu wa kawaida anapata wapi guts za ku do makaburini tena usiku wa manane?

kaka pitia pale kinondoni hugo house utaona kuna watu wana roho ngumu
 
Mambo unayojiwazia yatakuja kweli. hii story yako inaonekana ni ya kubumba haina ukweli, but watch out!
 
mwezi wa 4 niliwekwa rumande segerea kwa kesi ya kusingiziwa kubaka japo si kweli kutokana na kua jela mda mrefu nilipotoka tu nikasema niende kinondoni kwa ajili ya kujiliwaza na kujitoa uchovu wa jela nilifika pale saa 6; 45 usiku .

nilipofika barabari tu nikakutana na binti kama wa kiarabu lakini ananukia vizuru tu nikamuliizia biashara nae akajibu poa basi bwana tukakubaliana twende hugo guest mule ndani lakini tukapishana bei kwani gharama za kumudu kumpeleka ndani na kuumpa yweye hela sikuwa nazo


basi akaniambia kama ni hivyo sababu nae hela anaitaji inabidi twende makaburini tu nikaona ni bora nitaokea gharama
tulifika makaburini nikaanza kufungua suruali yangu sasa kilichonishangaza alaikua amevaa nguo nyeupe ikabadiika na kua nyekundu then ikawa yneupe ilikua gafla sana within a second nilihisi ni macho na pombe tu gafla nikasikia kicheka cha nguvu kilichoumiza masikio yangu niliogopa sana aisee gafla akapotea duh sijui nilitakiwa kuoneswa nini maana nahisi hii ina maana sana dah hii ni mara ya kwanza kukutana na jini ila alinitisha sana
Hii sio bure ni Brain concusion tu. Sidhani kama upo sawasawa wewe?
 
Mimi nafikiri ....ni mauza mauza tu wala sio jini wala nini ...This is what we call hallucinations
 
ni afande wa kinondoni shamba anaitwa samwel urasa

umetaja jina la kweli au uongo? kama la kweli nitafurahi siku nyingine wakikushughulikia haswa, why umeanika jina la mtu hata kama ilikuwa hongo au sio hongo siri kaa nayo na uwajuao sio ya kuweka kwenye mtandao.
 
Back
Top Bottom