Nimekutana na hili bandiko Facebook!

Nimekutana na hili bandiko Facebook!

Ngoja niwawahi kuwaibia wao kabla hawajaniibia,

Hapa nimwendo wa kekundu tu
 
BOT wenyewe hawawezi kutoa mkopo kwa watanzania wote!!


Hii kitu haijakaa sawa.
Hawa jamaa mpaka wanatumia nembo ya Taifa kama vile Taasisi ya Umma au Macho yangu!


182393_898fb01312.jpg
182470_2f62fb86f1.jpg
182392_3b46e6ab31.jpg

TOA MAONI YAKO HAPA
 


Hivi Ofisi ya Raisi iko karibu na Posta mlioko mujini mtusaidie jamani sie wengine mujini tunapasikia


182313_17cf99ae93.jpg
TOA MAONI YAKO HAPA

LOCATION DETAIL


Makao makuu / Ofisi za Saving Foundation zinapatikana Dar es salaam Tanzania, Posta mjini mkabala na ikulu (ofisi ya rais) Tupo katika jengo kuu la Utumishi wa Umma kitengo cha mikopo na uwekezaji jengo namba 360 ghorofa namba moja ofisi ya Customer Service fund.

Powered by Tanzanian Government sponsored by Tigo (MIC TANZANIA) Registered by TRA (Tanzania Revenue Authority)

(c) 2013



 
dunia ina mambo au wanatafuta watu wa kuchat sio mkopo
 
sasa huko ulikolitoa hlo bandiko wameibiwa wengi kwelkwel,hawa jamaa wanatumia sana jina la jack wolper ili kuwaaminisha wasiojitambua.
 
Hapana,kuna mashaka na hii taarifa.harufu ya wizi inanukia mbona!
 
Kuna mwingine nae anajiita wema sepetu ana mishe km hizi za utapeli!!!!

Tuwe makini na majizi haya!!!
 
mkuu hao ni matapeli wakubwa wala usijihusishe kabisa utatapeliwa bure vijisenti vyako acha na nao kabisa watakudhuru hao
https://www.facebook.com/salama.jabir.96?hc_location=stream

Ninafuraha kubwa kuchaguliwa katika uongozi wa Kampuni / Taasisi ya SAVING FOUNDATION kama ilivyotangazwa rasmi usiku wa jana katika vyombo mbali mbali vya habari.

SAVING FOUNDATION ni Taasisi ya kifedha iliyoanzishwa kwa lengo la kuwasaidia watanzania masikini / wasiojiweza kimaisha kwa kuwapatia mikopo ya pesa nafuu na isiyokua na riba ili kuwawezesha katika maisha kwa dhumuni la kutokomeza umasikini.

SAVING FOUNDATION inatoa mikopo ya fedha kwa kila mtanzania bila ubaguzi wa dini mtanzania yoyote anaweza akajiunga na SAVING FOUNDATION na akapatiwa mkopo wa pesa na atalipa mkopo huo bila riba!!

SAVING FOUNDATION imezingatia misingi ya dini kwa kuepuka riba. Nimependasana walivyozingatia hili ndio mana sikusita kukubali uongozi walio nipatia katika taasisi hii kwani hakuna unyonyaji kwa mteja. Mteja anaejiunga mkopo atakaopatiwa ndio atakaolipa! Hakuna riba.

UTARATIBU WA KUJIUNGA: Mtanzania yoyote yule anaehitaji mkopo wa pesa anaruhusiwa kujiunga kwa kujaza fomu za maombi ya mkopo kupitia tovuti yao: www.savingfoundation.wapka.mobi atajaza fomu kisha atalipia malipo ya ada za uanachama Kiasi cha Tshs. 45,000 na ataupokea mkopo wake wa pesa ndani ya dakika45 bila kucheleweshewa! Mikopo inatolewa kwa kila mtanzania anaehitaji mkopo wa pesa.

WITO WANGU: Kama wewe ni Mwanafunzi unahitaji mkopo jiunge na SOCIAL CREDIT COMPANY leo, kama wewe ni mfanya biashara unahitaji kuongeza mtaji katika biashara zako au unahitaji mtaji ufungue biashara pia kama unahitaji kujenga NYUMBA, Kununua gari nakushauri jiunge leo na SAVING FOUNDATION utapatiwa mkopo wa pesa nafuu, usiokua na riba. Ada ya kujiunga ni Tsh. 45,000 tu! Kwa anaetaka kujiunga upatiwe mkopo bofya hapa: www.savingfoundation.wapka.mobi




http://www.savingfoundation.wapka.mobi/
www.savingfoundation.wapka.mobi

https://www.facebook.com/salama.jabir.96?hc_location=stream
 
Siku izi ukilala kidooogo tu ,lazima ukatwe kinamna flani. Si mnaona?
 
Back
Top Bottom