Nimekuta Soda ina uchafu ndani

shangoo

JF-Expert Member
Aug 19, 2015
325
361
Jamani hiiv soda nimeikuta inauchafuu ndani nikawaza jee zile zenye rangi zingine kama pepsi, mirinda na seven up ni Mara ngapi tunakunywa na uchafuuu.
Kweli tanzania ya viwanda inatakuja ILA sio hii kwa kweli.
IMG_20170425_174722.jpg
 
Leo Mimi nimekutana na sprite Ina Kama vumbi kwa ndani Mimi nashauri kuwa makini unapokunywa soda
 
Q.A department za makampuni yetu mengi hapa Tanzania ni bosheni tu maana unajiuliza, wanafanya kazi gan maana kila baada ya 10-15/min unatakiwa kuchukua sample kwenda kupima maabara, pia kuna siter anayesaidiana na production supervisor ....yaani kwa ufupi kuna chain ndefu Sana mpaka bidhaa anatoka kwenye line of production . TFDA, ISO, TBS chukueni hatua mujarabu kwa kiwanda husika .
 
Q.A department za makampuni yetu mengi hapa Tanzania ni bosheni tu maana unajiuliza, wanafanya kazi gan maana kila baada ya 10-15/min unatakiwa kuchukua sample kwenda kupima maabara, pia kuna siter anayesaidiana na production supervisor ....yaani kwa ufupi kuna chain ndefu Sana mpaka bidhaa anatoka kwenye line of production . TFDA, ISO, TBS chukueni hatua mujarabu kwa kiwanda husika .
 
Q.A department za makampuni yetu mengi hapa Tanzania ni bosheni tu maana unajiuliza, wanafanya kazi gan maana kila baada ya 10-15/min unatakiwa kuchukua sample kwenda kupima maabara, pia kuna siter anayesaidiana na production supervisor ....yaani kwa ufupi kuna chain ndefu Sana mpaka bidhaa anatoka kwenye line of production . TFDA, ISO, TBS chukueni hatua mujarabu kwa kiwanda husika .
Ni kweli mkuu hivi nn kinatushinda kuhifadhi soda kiusafi yani soda chafuu kama maji ya kisima
 
Ingawa sikupingi lakini pia unaweza ukawa unataka kuharibu brand za kampuni mojawapo.
Just my curiosity...
Sipo hapa kuharibu mkuu ila kuwaonyesha hawo watengenezaji udhaifu wanatufanyia na kuwapa watu taadhari pindi wanunuapo soda ya aina yoyote wawe makini kabla ya kutumia.just imagini hiyo soda ingekuwa usiku huwezi kutambua kama inauchafu na imagini madhara ya huwo uchafu ndani ya chupa ni ya kiwango gani.
 
Back
Top Bottom