indelible
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 652
- 301
forgive and forget NOT revenge and regret
hata Yesu Kristo alisema samehe 7x70 sio sahau. Akiwa na maana hutaweza kusahau samehe mara nyingi uwezavyo.
forgive and forget NOT revenge and regret
Kusamehe ni somo kubwa sana na inabidi ujifunze kusamehe. Kusamehe kunaendana na kusahau kwa sababu msamaha wa kweli ni kuyaacha yaliyopita na kuanza upya ukiwa mweupe (clean) moyoni. Ukikumbuka makosa uliyofanyiwa utaumia na hapo utamchukia aliyekukosea na msamaha utakuwa haujafanya kazi.
Binafsi kuna mtu alinikosea sana na nilipitia situation kama yako ila kuna vitabu nilivisoma na kusikiliza kama why forgive (audio book), when forgiveness seems impossible ( discovery series) n.k ambavyo vilinisaidia kusamehe na kusahau.
Kusamehe kunaendana na kusahau na kusamehe bila kusahau basi si msamaha wa kweli kwa kuwa bado utateseka na kosa ulilofanyiwa na mwisho wake ni chuki kwa aliyetenda kosa.
ni kumuomba Mungu akusaidie uachilie, once you really forgive with Gods help, u just forget it, inakuwa nyuma kabisa ya akili yako, yani hata ukijaribu kukumbuka it just doesnt work, niamini!unaweza kusamehe na kusahau, naongea from experience...unaweza kumbuka ila haikupi tatizo, haikuletei hasira...yani ni kama kitu kingine tu kisicho na maana ambacho kitakupotezea mda ukikipa mda
Nimetumia logic ya kidini, Mungu anasema anasamehe na kusahau alafu anatutaka sasa tufanye hivyo. Angekua anasamehe na hasahau hakuna maana ya kusamehe.
Jifunzeni kutoka kwangu maana mimi ni mnyenyekevu na mpole, nadhani umenipata.
Kusamehe na kutosahau vina uhusiano gani?
Kwani kusamehe ni kujikumbusha unachokikumbuka?
Kuna kipindi i tried very hard to forgv n forget na kuomba pia Mungu nlifanikiwa kwa kiasi kikubwa nkaanza kusahau na hata nkikukumbuka nakuwa siskii hasira cha ajabu mtu aliyeniumiza akarudisha mawasiliano na mimi yaani hasira/chuki/maumivu yameenza upya namchukia sana.
hata Yesu Kristo alisema samehe 7x70 sio sahau. Akiwa na maana hutaweza kusahau samehe mara nyingi uwezavyo.
Kuna kipindi i tried very hard to forgv n forget na kuomba pia Mungu nlifanikiwa kwa kiasi kikubwa nkaanza kusahau na hata nkikukumbuka nakuwa siskii hasira cha ajabu mtu aliyeniumiza akarudisha mawasiliano na mimi yaani hasira/chuki/maumivu yameenza upya namchukia sana.
we umewahi kusamehe na kusahau?Taahira tu na mwenye mtindio wa ubongo ndio anaweza kusamehe na asisahau. Mwenye akili timamu husamehe na kusahau au kutokusamehe na kutokusahau. Umesamehe alafu husahau ya nini umesamehe.
Hilo neno tunasamehe hatusahau wewe na nani? Kama wewe unasamehe ila husahau sema wewe sio kujumlisha watu wote. Wengine tuna akili timamu na hatuma matatizo ya mtindio wa ubongo.