Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,414
Habari ndugu zangu wa Jf,
Hili ni jambo ambalo linanitatiza kidogo hivi kumsamehe mtu maana yake ni nini hasa? Na ukimsamehe mtu lile jambo alilokutenda ni lazima ulisahau? Na vipi umemsamehe lakini bado unalikumbuka na linakuumiza si msamaha huo?
Naombeni expirience yenu mliowahi kuwasamehe watu waliowaumiza kama ni kweli unasamehe na kusahau? Binafsi nasamehe sana ila sisahau nilichotendwa.
Naombeni msaada kama na mimi ninaweza kusamehe na kusahau au kutokusahau lililoumiza ni tatizo la kila mtu nami niendelee kusamehe na nisisahau.
Hili ni jambo ambalo linanitatiza kidogo hivi kumsamehe mtu maana yake ni nini hasa? Na ukimsamehe mtu lile jambo alilokutenda ni lazima ulisahau? Na vipi umemsamehe lakini bado unalikumbuka na linakuumiza si msamaha huo?
Naombeni expirience yenu mliowahi kuwasamehe watu waliowaumiza kama ni kweli unasamehe na kusahau? Binafsi nasamehe sana ila sisahau nilichotendwa.
Naombeni msaada kama na mimi ninaweza kusamehe na kusahau au kutokusahau lililoumiza ni tatizo la kila mtu nami niendelee kusamehe na nisisahau.