Kyooma
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 224
- 98
Mke wangu naomba unisamehe...leo ctaki kuamin nemesaliti mke wangu kwa miaka mtano ndani ya ndoa sijawahi kutoka nje leo nimekutana na ex wangu na tumefanya.
Nimeona tofauti nimekumbuka utamu wako na uzuri wako nimekumbuka tabasamu lako nimelikumbuka nolipokua na ex.
Kwanini nimefanya hivi nisamehe mke wangu najua hata kama haupo humu nisamehe na nimekuaga nitapitia kwa rafiki yangu kumbe nimekusaliti ngoja niagize serengeti nipate ujasiri wa kukuface home.
Nimeona tofauti nimekumbuka utamu wako na uzuri wako nimekumbuka tabasamu lako nimelikumbuka nolipokua na ex.
Kwanini nimefanya hivi nisamehe mke wangu najua hata kama haupo humu nisamehe na nimekuaga nitapitia kwa rafiki yangu kumbe nimekusaliti ngoja niagize serengeti nipate ujasiri wa kukuface home.