[Q="Erijo, post: 15434325, member: 346120"]Kumbe wakina Rooney wanakunjwa maji sana[/QUOTE]
Ye ah of coz, kila wakati utawaona wapo na chupa ya maji kwe bag. Lakini sis waswahili sio desturi yetu kabisa. Japo hii ya mswahili mwenzetu V. Kigosi imevunja rekodi kabisa. Na zile nywele zake sasa atakuja na kusema anakula sana mlenda khaa haha