Sisi tulikua tumeifunga juu ya mti mkubwa chini kuna maanguko ya maji , nikasukumwa nikaenda juu nikazunguka, Nikabinukia upande wa pili wa kamba, then nikadondokea karibu kabisa na jabali ilikua hatari halafu watoto wengine wakakimbia , bahati nzuri kulikua na wadada wanafua wakanitoa ,nilishakunywa maji ya kutosha.