hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Mchungaji Christopher Mtikila mwenyekiti wa DP nimekukumbuka mzazi wangu.
Nimekukumbuka kwa suala moja tu, nalo Ni UTANGANYIKA. Nakukumbuka sana na gari Lako lile ukipeperusha Bendera ya Tanganyika hakika Ni wachache tulikuelewa.
Nimekukumbuka sana kipindi hiki hasa baada ya kuona namna ambavyo ndugu zetu wa Zanzibar wanavyotubagua na kudai nchi Yao kana kwamba Watanganyika tumewapora.
Nimetembelea mtandao wa kijamii wa Mzalendo.net ambao Ni wa wenzetu hawa na kukutana na kura zinazoendeshwa za AMA kuuunga AMA kupinga muungano. 87% Wanasema Uvunjwe na only 13% Wanasema Usivunjwe. Hii inaashiria nini? Binafsi inaniambia kwamba Sisi si wamoja, kuna Wao Wazanzibar na Sisi Watanganyika.
Ukisikiliza coment za Watanganyika wengi wanaunga MKONO Muungano lakini Ni kinyume kwa wenzetu hawa.
Mhe. HAMAD Rashid Mbunge wa WAWI Cuf, kafukuzwa kwa kuhoji tu upendeleo unaonyeshwa na viongozi wa chama CHAKE kwa upande wa Visiwani.
Inashangaza kuona kwamba Ni juzi tu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Cuf MHE. Ismail Jusa amesikika Alizungumzia kushindwa kwao katika uchaguzi mdogo JIMBO la Uzini eti kisa Ni Ukristo na Ubara uliokithiri eneo lile.
Nijuavyo mimi, kuna Wazanzibar Karibu million moja wote kwa ujumla na nina hakika KATI Yao zaidi ya laki moja wanaishi bara na wamewekeza na kuendesha shughuli zao za kujipatia riziki Kama walivyo Wamakua, Wamakonde,Waha,Wakurya na makabila mengine mengi tu yaliyopo nchini mwetu.
Nachelea kufikiri wangekuwa wapi pasipo Muungano? AMA ndio ile DHAMBI ALIYOKUWA ANAIHUBIRI MWALIMU JULIUS NYERERE?
Nimekukumbuka Mchungaji kwa kusimamia Utanganyika wetu, hakika uko sahihi katika hili.
Hebu Watanganyika tuifanyieni kazi hii Katiba mpya.
Nimekukumbuka kwa suala moja tu, nalo Ni UTANGANYIKA. Nakukumbuka sana na gari Lako lile ukipeperusha Bendera ya Tanganyika hakika Ni wachache tulikuelewa.
Nimekukumbuka sana kipindi hiki hasa baada ya kuona namna ambavyo ndugu zetu wa Zanzibar wanavyotubagua na kudai nchi Yao kana kwamba Watanganyika tumewapora.
Nimetembelea mtandao wa kijamii wa Mzalendo.net ambao Ni wa wenzetu hawa na kukutana na kura zinazoendeshwa za AMA kuuunga AMA kupinga muungano. 87% Wanasema Uvunjwe na only 13% Wanasema Usivunjwe. Hii inaashiria nini? Binafsi inaniambia kwamba Sisi si wamoja, kuna Wao Wazanzibar na Sisi Watanganyika.
Ukisikiliza coment za Watanganyika wengi wanaunga MKONO Muungano lakini Ni kinyume kwa wenzetu hawa.
Mhe. HAMAD Rashid Mbunge wa WAWI Cuf, kafukuzwa kwa kuhoji tu upendeleo unaonyeshwa na viongozi wa chama CHAKE kwa upande wa Visiwani.
Inashangaza kuona kwamba Ni juzi tu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Cuf MHE. Ismail Jusa amesikika Alizungumzia kushindwa kwao katika uchaguzi mdogo JIMBO la Uzini eti kisa Ni Ukristo na Ubara uliokithiri eneo lile.
Nijuavyo mimi, kuna Wazanzibar Karibu million moja wote kwa ujumla na nina hakika KATI Yao zaidi ya laki moja wanaishi bara na wamewekeza na kuendesha shughuli zao za kujipatia riziki Kama walivyo Wamakua, Wamakonde,Waha,Wakurya na makabila mengine mengi tu yaliyopo nchini mwetu.
Nachelea kufikiri wangekuwa wapi pasipo Muungano? AMA ndio ile DHAMBI ALIYOKUWA ANAIHUBIRI MWALIMU JULIUS NYERERE?
Nimekukumbuka Mchungaji kwa kusimamia Utanganyika wetu, hakika uko sahihi katika hili.
Hebu Watanganyika tuifanyieni kazi hii Katiba mpya.