ahh wewe mkubali mwenzio
Waridi tuambie kama muhusika ni ndugu yako maana unavyombeba tuna wasiwasi.hahah sasa mwenzake mpk anataka ajitundike asi bora tu amkubalie japo cha uwongo uwongo
jamani Rose mnataka hata mumuzie Lizzy kwa Gbollin
hahaha
halelujah
Rozeee....hebu nikubalie mm kiowongo uwongo......halafu unipe mimi ki-nguo nguo.
Ahh nimebadili mawazo maana naona mnataka kumpindua baba mchungaji!Sitaki kuwarahisishia!Nimefurahi kwa kutambua nachotaka mamii siku zinazidi kwenda sioni mabadiliko....hali imekuwa ngumu Lizzy...
weeeee babu ana radar pande zote....l.o.l
Embu acha uchokozi!
Hashycool kumbe wamuheshimu bwana mchungaji....safi sana.
Lizzy mamii, I was just suggesting...nimeamini we na mchungaji ni damu damu. Kina G na uporoto01 kaeni pembeni.
Hawana wivu.. Wanataka kizuri wale na ndugu yaoBadala waache bahati idondokee kwao!
hehehe mkuu kacheki afya yako, nazani umekula kitu kimekuzuru kidogo. dah! jf bana.Kwako LIZZYMIND "Lizzy" mwanamke pekee wa JF ulieubalasa MTIMA wangu, napenda kukufahamisha kuwa mimi ni kijana MTANASHATI nilitokea kukupenda sana, sikuli kwaajili yako, SILALI NAKUOTA wewe, nikinywa maji nakuona kwenye glass, nikiangalia TV nakuona wewe, nikiangalia bingu naliona jina lako angani, nkiangalia mwezi naona avatar yako, umbo lako namba 8 lanifanya nsifikirie kukusaliti, sauti yako ya upole yanipa kigugumizi, pua yako ya kisomali yanipa hamu nawe. Naomba niwe wako tafadhari kabla sijajiua...!!
Weee unanidai SENKSI!
Jamani mie Miss Judith anaisuuza roho yangu kweli huyu dada...! I wish...!
Unaonaje ukimpa wewe?sasa Lizzy ww ni matured woman, mpatie aonje mwenzako, mbona mgumu hivyo? Rev anagonga nje
kama kawa ww unabana ukizani kuna mwaminifu, mwonee huruma mpe dudu kidogo hujui
unamwonea, si ajabu akikupa mhogo wake utamsahau Rev kwa utamu na kuona new world
Asante shem wangu wa ukweli!
Mwuahhh!Luv u tuu!
Lizzy utabana utachoka utakuja kuachia tu.Mwuahhh!Luv u tuu!