Mwambie watoe kile kitobo kwenye donut, kinakata stimu sanaaaa.
Sent from my BlackBerry 0 using JamiiForums
Habari yenu watanzania wenzangu,mimi ni mwanafunzi wa elimu ya juu chuo kikuu cha muhimbili,pia ni mkazi wa simiyu,nimetafuta chance ya kuonana na rais kwa miaka minne hatimae nimejibiwa barua yangu kuwa nionanenae ikulu dar march 5,2014.
Malengo yangu makuu ni kutaka kumweleza mustakabali wa nchi hii na tutumie njia gani na malengo gani ili tuweze kutransform long vision 2014 to short vision around 2010-2020,..niliandika barua yenye mambo mengi sana ,hadi mheshimiwa kakubali kweli ameona nina mambo ya kumweleza.
Nakuomba kabla sijaonanae weka jambo ambalo unahisi nikamweleze pia.
yaani kwa hilo jina lako tu nimekudharau!!!!!Rais wetu kachoka kweli hadi anakubali kuonana na MBWA?????jina mara nyingi(hasa hizi a.k.a) huwa zinaonyesha uwezo wetu halisi wa kufikiri na mazingira tunayoishi.otherwise labda uwe bado ni tineja!!!!by the way,hongera kwa kupata mwaliko wa Rais
Mweleze Kero ya Maji Dar bado hilo tatizo halijapatiwa ufumbuzi tunahitaji miundo mbinu mipya ili kuondoa kabisa hili tatizo.
Tatizo la Lipumba ni Ugaidi wakeHalafu hebu muulize yule waziri wa fedha alitumia njia gani mpaka kumuweka pale wakt tuna maprofsr kibao nchini hasa wakina lipumba...!!kwann wasikae hapo