.Katiba ya JMT hairuhusu vyama vya siasa vya kidini wala kikabila sasa nyie cdm munavunja sheria ya nchi kwa kuendeleza udini na ukabia.na ukumbuke ccm ni tofauti na cdm kwa kila kutu na ujue ccm ni chama kilicho pigania uhuru wa tz sasa nyie cdm munapigania uhuru wa kili arusha au wawapi?msijifananishe na ccm hamufanani hata kwa kucha
Ndio ujiulize sasa!Kama katiba ya JMT hairuhusu vyama vya kidini na kikabila inawezekanaje serikali ikaruhusu chama cha kikabila na kidini kama chadema kwa mujibu wa thread yako?
Lakini lazima utambue kuwa rais ameapa kuilinda katiba ya nchi na akienda kinyume cha katiba anapaswa kushtakiwa kwa usaliti.Umeshamfungulia mashtaka rais wako kwa kutoilinda katiba?
Halafu pia nawashangaa mnaosema CDM ni chama cha kidini na kikabila,je hii list hapa chini inaifanya CCM kuwa chama cha kikabila na kidini?
1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu
Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam
Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu'