Nimekosea wapi

Muda wote huo anasubiri nini kuweka hela zake kwenye porch yako anasubria ufungue bank account au?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
wiki tatu hajakuomba nyapu, arafu akufundishe na kukupatia gari. Na wakati huo mmejuana mtandaoni..asee hii chai umetia chumvi mno,

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni ukweli mtupu na kuruhusu Kama upo Dar kesho asubuhi nenda magomeni kota utaona jinsi alivyonichorea barabara na kunipangia mawe ili niweze kunyoosha gari


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo dawa yake ndogo sana, we mtafute kwenye angle yenye mtakuwa wawili tu kisha mfunulie skirt yako kwa haraka sana ile shaaaaap! na kuifunika kama kawaida. Kakikisha anakiona kyupi ulichokivaa na usivae tight atalegea kama mlenda vile. Usimsemeshe neno baada ya hapo ondoka zako mbona atakutafuta mwenyeweeee
 
Shairi la stori yako linahitaji nn? Vijana mnajua kucheza na akili za wasomaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jifunze kutosema usiyotaka kuelezea..

Picha aliyopata ni mlinaniiiiiiiii..

Ila ilikuwa lazima utuambie umempatia humu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…