NIMEKOMA: nishaurini,nitukaneni mtakavyo; nastahili

NIMEKOMA: nishaurini,nitukaneni mtakavyo; nastahili

Game za nje hazikwepeki aisee maana huwezi kula Ubwabwa Maharage kila siku kuna siku inabidi ubadilishe ule hata pilau kuku. M/Mke unakaa nae kwenye ndoa miaka10 hata ukilala nae unahisi umelala na m/ume mwenzako maana hata hisia hamna kabisa.
 
unamwomba Mungu yupi?
ni onyo hizi sio nyakati za kutokuwa mwaminifu, huyo mwanamke wako naye angefanya ulivyofanya, unamwaminije huyo mwanamke mwingine. Kitendo cha kutokuwa mwaminifu ukijua kuna ukimwi si ndo kuutafuta kwenyewe na utatafutaje usichokipenda
 
Maneno yako makali sana,huu si ushauri wala matusi. Ni laana unajaribu kutoa. Ni kama unasema hata wewe ulaaniiwe kwa vi skeleton vyote ulivyonavyo katika kabati lako!
laana huwa hawajaribu kutoa, huwa inatolewa tu. Nyakati za ukimwi hizi unaruka ruka unatafuta nini kama sio ukimwi? Bahati nzuri mimi siruki ruki, Hilo ni onyo tu sio laana. Tulia, usipotulia utapata unachotafuta, maana one night stands sio sifa nyakati za sasa
 
Game za nje hazikwepeki aisee maana huwezi kula Ubwabwa Maharage kila siku kuna siku inabidi ubadilishe ule hata pilau kuku. M/Mke unakaa nae kwenye ndoa miaka10 hata ukilala nae unahisi umelala na m/ume mwenzako maana hata hisia hamna kabisa.
ukipata ukimwi utarudi uvalishwe nepi na huyo huyo unayemuita wali maharage kila siku
 
Back
Top Bottom