Nyamtala Kyono
Senior Member
- Sep 23, 2010
- 163
- 38
Namwomba mola anisaidie niweze kuishinda mitihani hii. Kwa mara ya kwanza ktk maisha yangu nimegonganisha wasichana. Nina girlfriend ana wivu sana. nampenda sana,huwa sipendi nimuudhi ingawa yeye huniudh kwa wivu ulopitiliza. Sitaki niwe mnafiki one night stand za hapa na pale nimezifanya sana na wadada wengine. Na leo imekuwa moja ya hiyo siku niliyo mcheat nayo. Mpnz wangu hkuwa na mpango wa kuja kwangu. Kuna huyu mdada,ni rafiki yangu but tumejikuta tume do,na yeye ananipenda na anaona kama vile ana chance na mimi. Na yeye pia anapafahamu kwangu. Jana kaja usiku tuka hangout,hao tuka do. Akalala. Girlfriend wangu simu hazikatiki usiku kucha. Alfajiri huyo akatinga nyumbani...ndani yupo "kimada"...to be continued...
*****
Updates...12.25pm
bi mkubwa bado kapiga kambi nje,ila nahsi ni kama anataka kuondoka. Hapa ana uhakika nipo,ameona tv iko on ndani. Niko nimetekwa kama tukio la westgate vile!
*****
Updates...12.25pm
bi mkubwa bado kapiga kambi nje,ila nahsi ni kama anataka kuondoka. Hapa ana uhakika nipo,ameona tv iko on ndani. Niko nimetekwa kama tukio la westgate vile!