Nimekoma kushika simu ya mke wangu

Nimekoma kushika simu ya mke wangu

Mme wako unagopa nn.. Akifanya ujinga unamtandika, sijui wanaume wenzangu mmekuwaje.. Simama imara usiwe legelege
Nkipiga ntaua mana najijua hii mikono yangu ni balaa kutokana na materials nnayokula adhabu nliyompa inamtosha
 
Mkuu mpe ushauri acha kumsimanga mwenzio
Jamii forum imekuja kuaje?mtu anaomba ushauri anasononeka nafsi yake,anaumia nafsi yake badala uchukulie tatizo la mwenzako Kama lako then umshauri unaanza kumcheka na kumdhihaki why? But nimekuja kugundu wengi wanao comment ujinga kwenye swala la muhimu na la serious wote ni mabachela so anachukulia Kama mwenza kalambiwa girl friend. Mke syo girlfriend, mke ni zaidi ya girlfriend na ni sehemu ya maisha yako .
 
Back
Top Bottom