Yani nakwambia lle varangt mbna nilitaman hata nimpe Hela Ili atulie lakin ndo ivo tayar nlikwa nimesh mpandsh hasira. Ila nimejifunz wale watu siwakubishn nao Bora akudhulum aend yaishMie nawapa hela yao mapema kama anavyotaka, na akileta ujuaji/konakona nyingi huwa sibishani nae namwambia vaa toka.
Mara nyingi huwa wanajiumauma hapo.. kuondoka anataka, kubaki anataka.
Wanaogopa sana mtu akupe hela alafu asikusumbue kukubandua, wanajua kuna kitu utakuja kumfanya hapo baadae.
Wakongwe kazini.Kulipa si baada ya?
Tena naskia kochi unalisogeza mlangoni kabisa....
Sahihi mkuuWewe ni mjinga.
Mimi hata Demu nisie na plan nae havuki kizingiti Cha mlango wangu.
Mishe zote huko huko gesti.
Nyumbani kwako ni mahali patakatifu japo ni wewe ni mchafu.
Umeshaleta mabala, minuksi, mikosi, laana nyumbani kwako
Hio nyumba itakaswe.
Mwaka ndio kwanza una wiki moja tayari watu wanakimbizana na Malaya.