Nimekata tamaa ya kuolewa

Dah alipokuzalisha ndio kakuharibia, ungekuwa huna mtoto ningekuoa!
 
alikosea tangu mwanzo. mume haombwi anatafutwa! asubiri bac waliofiwa na kuachana na wake zao watamwona
 

Una ela? ..unafikiri watu wa kuoa hakuna tatizo tunaangalia salio mengine badaye..kama salio linasoma yani nitakua mwaminifu kuliko unavyotegemea ela inatuliza aiseee wala ugomvi hautakuepo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…