Nimejiunga kifurushi cha data Halotel kimeisha haraka sana

Seth seth

Member
Jan 2, 2022
95
135
Nimejiunga kifurushi Cha wiki Cha sh 2000 usiku huu SAA 3:14. Nikaingia Facebook na whatsapp nikawa napitia kurasa na magroup mbalimbali nasoma tu. Siku downlod video yoyote. Ilipofika saa 3: 59 nikatumiwa sms eti umetumia asilimia 75 ya kifurushi chako.

Ilipofika saa 4:14 yaani wastani wa SAA moja kamili tangu niunge bando nikatumiwa sms ety kifurushi chako kimeisha. Nimehisi hasira mpaka basii.

Vp nyie wenzangu mnatumia mtandao gani wenye unafuu?
 
Kuna mda unaweza kuwalaumu kumbe sm yako haina settings kibao eg.ina auto update...kuna apps kibao zna consume data... Ina run background apps kwa kutumia data...hujaset data saver etc sooo kama unaijua vzr sm ndooo weka complaints .....
 
Nimejiunga kifurushi Cha wiki Cha sh 2000 usiku huu SAA 3:14. Nikaingia Facebook na whatsapp nikawa napitia kurasa na magroup mbalimbali nasoma tu. Siku downlod video yoyote. Ilipofika saa 3: 59 nikatumiwa sms eti umetumia asilimia 75 ya kifurushi chako. Ilipofika saa 4:14 yaani wastani wa SAA moja kamili tangu niunge bando nikatumiwa sms ety kifurushi chako kimeisha. Nimehisi hasira mpaka basii.
Vp nyie wenzangu mnatumia mtandao gani wenye unafuu?
unamjua mmiliki wa hiyo kampuni?
 
Kuna mda unaweza kuwalaumu kumbe sm yako haina settings kibao eg.ina auto update...kuna apps kibao zna consume data... Ina run background apps kwa kutumia data...hujaset data saver etc sooo kama unaijua vzr sm ndooo weka complaints .....
Apps Kama zipi kiongozi coz data saver iko on.
 
Nilitaka kulalamika jana kuhusu hao hao Halotel,nimejiunga na bando la vodacom 1.4gb nikatumia kama siku mbili,lile bando halikuisha ila mtandao ukawa unasua so nikaamua kujiunga mb 700 za halotel.Kwa matumizi yale yale zile mb 700 za halotel ziliisha ndani ya masaa kama mawili matatu. Ikabidi niswitch vodacom niendee na zile 1.4gb ambazo zina siku mbili natumia.
 
Nilitaka kulalamika jana kuhusu hao hao Halotel,nimejiunga na bando la vodacom 1.4gb nikatumia kama siku mbili,lile bando halikuisha ila mtandao ukawa unasua so nikaamua kujiunga mb 700 za halotel.Kwa matumizi yale yale zile mb 700 za halotel ziliisha ndani ya masaa kama mawili matatu. Ikabidi niswitch vodacom niendee na zile 1.4gb ambazo zina siku mbili natumia.

Nanunua tigo GB 4.8 nafanya mambo yangu siku nzima na GB zinabaki. Nimenunua halotel same bundle ila matokeo yake baada ya masaa 3 nishatumiwa 75%, sijaa vzr natumiwa sma bundle limeisha. Halotel ni wezi sana.
 
Wiki iliyopita niliunga bando la elfu 10 nikapewa GB4.9 na nimekuwa nikijiunga hivo na huwa natumia wiki 2 ila that time wakanishangaza.Within 3days naambiwa bando kwisha nikawapigia simu.Mara ooh angalia setting ya simu yako mara bla bla nyingi.Nikajua matapeli tu hawa
 
Nimejiunga kifurushi Cha wiki Cha sh 2000 usiku huu SAA 3:14. Nikaingia Facebook na whatsapp nikawa napitia kurasa na magroup mbalimbali nasoma tu. Siku downlod video yoyote. Ilipofika saa 3: 59 nikatumiwa sms eti umetumia asilimia 75 ya kifurushi chako.

Ilipofika saa 4:14 yaani wastani wa SAA moja kamili tangu niunge bando nikatumiwa sms ety kifurushi chako kimeisha. Nimehisi hasira mpaka basii.

Vp nyie wenzangu mnatumia mtandao gani wenye unafuu?
Hao ndio mabingwa wa wizi wa data. Poor connectivity ya calls, yani majanga.
 
Nimejiunga kifurushi Cha wiki Cha sh 2000 usiku huu SAA 3:14. Nikaingia Facebook na whatsapp nikawa napitia kurasa na magroup mbalimbali nasoma tu. Siku downlod video yoyote. Ilipofika saa 3: 59 nikatumiwa sms eti umetumia asilimia 75 ya kifurushi chako.

Ilipofika saa 4:14 yaani wastani wa SAA moja kamili tangu niunge bando nikatumiwa sms ety kifurushi chako kimeisha. Nimehisi hasira mpaka basii.

Vp nyie wenzangu mnatumia mtandao gani wenye unafuu?
Hao ni wezi na washenzi sana, kuna wakati unaweka salio unakuta kila siku kuna deductions bila kuelewa nini sababu ya kukata muda wa maoongezi daily
 
kuna wakati waliniletea huo ujumbe wao wa 75% ya bundle imetumika, nikalazimika kucheck salio... nikakuta ni 25% tu ndio imetumika.. tangu wakati huo angalau yaani kidoogo afadhali bando linakaa.. jamaa ni matapeli wezi vibaya mno
 
Back
Top Bottom