nimejiunga Jamiiforums

mko poa marafiki wa JamiiForums?
nimejiunga leo nikaribisheni.
1.Je..una maoni gani juu ya utendaji kazi wa rais ?

2.Je unaamini kwamba ccm ni kikwazo cha maendeleo ya taifa letu.
3.Nini kifanyike ili tuweze kufikia uchumi wa kati?

Karibu jamii forum...
 
1.Je..una maoni gani juu ya utendaji kazi wa rais ?

2.Je unaamini kwamba ccm ni kikwazo cha maendeleo ya taifa letu.
3.Nini kifanyike ili tuweze kufikia uchumi wa kati?

Karibu jamii forum...
umenikarbisha na maswali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…