jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
- Thread starter
- #61
Niko poa hofu kwako
mmmmmmhhhhh
Niko poa hofu kwako
hahahahahhahaahahahahaaaaaaaaaaKwangu mimi kipini hata aweke kwenye ki.s.i.mi,shanga mguuni na kiunoni sio tatizo. Shida kubwa ambayo hata bo.lo halitasimama ni kunyoa hasa kipara mama weeee!!naweza mtimua kama pwaka mwizi!!!
hahahahahhahaahahahahaaaaaaaaaa
Jembe afrika ni shidaaah eti hawa watu!!?
mmmmmmhhhhh
Nn unaguna
Hata mwanamke mwenye kipini huwa namuona wa tofauti sn na siwezi kumtongoza ht awe mzuri km miss neddy
Hata mwanamke mwenye kipini huwa namuona wa tofauti sn na siwezi kumtongoza ht awe mzuri km miss neddy
Comment nzuri sana hebu mwambie atuache na vipini vyetu....
Na ukute kajikrim sasa pua inakuwa kama ya kitimoto...
Kwangu mimi kipini hata aweke kwenye ki.s.i.mi,shanga mguuni na kiunoni sio tatizo. Shida kubwa ambayo hata bo.lo halitasimama ni kunyoa hasa kipara mama weeee!!naweza mtimua kama pwaka mwizi!!!
kila shetani na mbuyu wake
wa hivyo wana watu wao ambapo hiko kipini ndo kinacho wasisimua....
kuna vidume wanasisimka na wanawake wenye ndevu na wanavuta sigara...
na kuna vidume vinasisimka na wanawake wanao dunda waume zao
utakuta mtu anamtongoza baada ya muda nae anadundwa lakini 'roho kwatu'....
'there are things in life that are very difficult to explain'