Nimejitahidi kuwapenda lakini wapi

Nimejitahidi kuwapenda lakini wapi

jembe afrika

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
7,602
Reaction score
3,781
Mwanamke mwenye pini puani hata kama angekua mzuri vipi, huwa natamani kutapika hasa wengine wanaweka mapini makubwa yanakua kama kamasi limening'inia,yaan wanaboa na katika uchunguzi wangu wengi utulivu ziro.
 
your formula of falling in love doesnt apply to those kind of women..try other types..
sio lazima kila kinachokatiza mbele yako kifit interests:confused2: zako..

usifikiri kila mwanamke atakupendeza hata kama hana kipini cha pua..

waswahili wanasema kila shetani na mbuyu wake..
 
Hata mimi haya madude sinaga hisia nayo, unajingine limetoga pua na maskion katoga matundu nane kila sikio.
 
Na ukute kajikrim sasa pua inakuwa kama ya kitimoto...

Nenda India..tena ile miji yenye Wahindu wengi kama Mumbai au states za Central na North East/west..utachoka..na central ka Mysore...
I had a friend akanipeleka kwenye harusi ya ndugu yake..Mweehh!!!
Huyo bibi harusi kavishwa gold kuanzia puani mpaka unyayoni!!
Tangu hapo nkaamini..kweli Cultures are always a fabric of unique patterns.
kikukeracho wewe..furaha ya wengine,,wakubali tuu..
Fadhaa na karaha kwako..burudani kwa wengine...
Hata sie wanatushangaa au hujui..
 
utashangaa unakuja kuoa mmoja wapo, tena ndo unampenda husikii la m2,
hahahahahaaa ndo utajua uliwapenda au kuwachukia
 
kila shetani na mbuyu wake
wa hivyo wana watu wao ambapo hiko kipini ndo kinacho wasisimua....

kuna vidume wanasisimka na wanawake wenye ndevu na wanavuta sigara...

na kuna vidume vinasisimka na wanawake wanao dunda waume zao

utakuta mtu anamtongoza baada ya muda nae anadundwa lakini 'roho kwatu'....

'there are things in life that are very difficult to explain'
 
Back
Top Bottom