Nimejifanyia audit, nimejikuta na hati chafu

Nimejifanyia audit, nimejikuta na hati chafu

MtotoKautaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2018
Posts
877
Reaction score
1,781
Wakuu maisha kutoboa yataka moyo thabiti na mgumu kweli kweli.

Nimejifanyia Audit nimegundua tsh 235,000 haijulikani ilitumika kwa matumizi yapi.

Matumizi yangu ya muhimu nayakumbuka yote lakini mwisho wa siku nimefanya mahesabu nimegundua tsh 235,000 imetumika katika matumizi ya ovyo ovyo (yasiyoeleweka).

Roho yangu imeniuma sana kwasabab hiyo hela ningeisevu ingenisaidia mbeleni.

Mimi ni kijana ambaye nipo kwenye age ambayo inanihitaj niwe makini sana kwenye matumizi ya pesa kwasabab niki-mess up tu now basi nitakuwa kuja jinga hapo mbeleni.

Naombeni ushauri ndugu zangu mbinu za kusev pesa.
 
Duh laki 2 ndo unalalamika mpaka kufungua thread.

Mwenznako last month nmezika 1.5m ndo kwanza hata akili haiwazi labda nkupe tu ukweli ambao motivation speaker wengi hawawezi kukwambia.

Ni kwamba kwenye maisha kadri majukumu yanavyopanda basi ndivyo na matumizi ya hela yanapanda na hata milango ya riski nayo inaongezeka(funguka).

Ndo maana utashangaa ghafla tu unahama home na kwenda kupanga chumba,baada ya mda chumba kimoja hakitatosha utaongeza chumba sebule,kutamaki unakodisha nyumba nzima.

Mara ghafla utajikuta hupand tena daladala bali ni bajaji na bodaboda kutamaki gari na mengineyo ila kuja kujiliza hapa kuwa umetumia mwenyewe bila kuitupa barabarani 200+k ni kujilimit kuwa wewe ni wa kiasi fulani ndani ya ubongo wako.

NB:
NMETOA KAMA ELIMU TU KWA EXPERIENCE YANGU NISIELEWEKE VIBAYA
 
Duh laki 2 ndo unalalamika mpaka kufungua thread.

Mwenznako last month nmezika 1.5m ndo kwanza hata akili haiwazi labda nkupe tu ukweli ambao motivation speaker wengi hawawezi kukwambia.

Ni kwamba kwenye maisha kadri majukumu yanavyopanda basi ndivyo na matumizi ya hela yanapanda na hata milango ya riski nayo inaongezeka(funguka).

Ndo maana utashangaa ghafla tu unahama home na kwenda kupanga chumba,baada ya mda chumba kimoja hakitatosha utaongeza chumba sebule,kutamaki unakodisha nyumba nzima.

Mara ghafla utajikuta hupand tena daladala bali ni bajaji na bodaboda kutamaki gari na mengineyo ila kuja kujiliza hapa kuwa umetumia mwenyewe bila kuitupa barabarani 200+k ni kujilimit kuwa wewe ni wa kiasi fulani ndani ya ubongo wako.

NB:
NMETOA KAMA ELIMU TU KWA EXPERIENCE YANGU NISIELEWEKE VIBAYA
Sawa ngoja nione hii mbungi inaendaje
 
Wakuu maisha kutoboa yataka moyo thabiti na mgumu kweli kweli.

Nimejifanyia Audit nimegundua tsh 235,000 haijulikani ilitumika kwa matumizi yapi.

Matumizi yangu ya muhimu nayakumbuka yote lakini mwisho wa siku nimefanya mahesabu nimegundua tsh 235,000 imetumika katika matumizi ya hovyo hovyo (yasiyoeleweka).

Roho yangu imeniuma sana kwasabab hiyo hela ningeisev ingenisaidia mbeleni.

Mimi ni kijana ambaye nipo kwenye age ambayo inanihitaj niwe makini sana kwenye matumizi ya pesa kwasabab niki-mess up tu now basi nitakuwa kuja jinga hapo mbeleni.

Naombeni ushauri ndugu zangu mbinu za kusev pesa.
 
Siyo kawaida
Hamna hela lazima zitumike mkuu ili nyingine zipatikane,.

Nakumbuka wakati niko single ilikua nikinipigia hesabu matumizi nliyoyafanya mwezi mzima inafika Laki5+ halafu cha maana nlichofanya hakuna hadi nikawa naogopa,.
Mama angu aliniambia maneno kama aliyozungumza jerryempire nikaanza kujionea kawaida tu

Au unaweza ukafungua malengo Account hela ambazo unaona huna matumizi nazo uwe unaziweka huko ili kuepuka matumizi yasiyo ya lazima
 
Hamna hela lazima zitumike mkuu ili nyingine zipatikane,.

Nakumbuka wakati niko single ilikua nikinipigia hesabu matumizi nliyoyafanya mwezi mzima inafika Laki5+ halafu cha maana nlichofanya hakuna hadi nikawa naogopa,.
Mama angu aliniambia maneno kama aliyozungumza jerryempire nikaanza kujionea kawaida tu

Au unaweza ukafungua malengo Account hela ambazo unaona huna matumizi nazo uwe unaziweka huko ili kuepuka matumizi yasiyo ya lazima
Shukrani
 
Ukiona hela haitoshi ongeza matumizi ya lazima, hii itakufanya kuongeza vyanzo vya mapato ili kuyakamilisha.
 
Ukifikia roho kuuma ivo,
Akili yako ishakomaa kiutu uzima
 
Back
Top Bottom