Nimeitwa usaili Sekretariet ya Ajira

Nimeitwa usaili Sekretariet ya Ajira

David Moyes

Member
Joined
Nov 30, 2013
Posts
20
Reaction score
8
Wakuu habarini za muda huu,

Glory to God!

Hatimaye nimeitwa kwenye interview secretariet ya ajira post ya Assistant Accountant baada ya kusota kwa takribani miaka 5 bila kazi yoyote.

Ombi Langu Kwenu

Kwa wale waliowahi kufanya interview ya mchujo, naomba walau kujua wanauliza maswali ya aina gani ya darasani au general knowledge? Msaada wenu wakuu nisikose hii. Nimeungua jua mtaani sana.
 
kujiamini ndio cha maana kaka ila unajua unaweza usijibu vizuri maswali ila KAMA SIKU YAKO IMEFIKA HAKUNA WA KUZUIA.....mm nlimaliza chuo 2012, nlihudhuria interview kama 28, ya 29 ndio nlifanikiwa last year, tena gvt. Bila refa wala nn...naamini kuna watu walijibu maswali vizuri zaidi yangu ila nlijiamini na kujibu hata kama sijui...kama kuna writen uwe makini na spelling error...
 
Jiandae vizuri na maswali ya darasani kama ni written!! Jaribu kuangalia Job description ya tangazo then concentrate kwenye hizo topic. Best Wishes na MUNGU akutangulie
 
sikukatishi tamaa, ila ukweli ndiyo unaouma. Omba Mungu sana!
 
Mshukuru mungu kwanza kwa kupata bahati ya kuitwa katika usahili wa awali kama haujaitishiwa barua yako na mtu, pili usiogope hamna cha ajabu ambacho utashindwa kujibu jiamini sasa hamna haja ya posibo hapo kama ulifukia madesa kiukweli post ni yako tu mkuu usiiache chance. kikubwa jiamini, usijibu swali usilolijua na kuwa msafi wa mavazi mpaka mdomo then Goodluck mdau
ASK YOUR MOM ABOUT MY NAME:heh:
 
Kwa taarifa yako ni mimi sasa, watu kama nyie huwa hamkosekani katika jamiii!!
 
jamaan hyo n typing error inaweza tokea kwa kila m2 bt hakuna alyemkamirifu ktk lugha ya kigeni kaka ucfe moyo mungu atakutangulia
 
Back
Top Bottom