kilio
Member
- Jan 24, 2014
- 68
- 83
wanajamii forum nilipigiwa simu jumatano tarehe 11/02/2015 kwa ajili ya interview 13/02/2015.wakati deadline ya kutuma maombi ya post ya ELECTRICAL INTERN ni tarehe 12/02/2015 saa kumi.je sheria ya uajiri inaruhusu kumwita mtu kwenye interview kabla ya deadline.je walio apply jana na leo maombi yao hayata shughulikiwa?.pia kwanini private sectors zinafikili kila mtu anaishi dar es salaam hazitoi mda kama utumishi.