- Thread starter
- #21
True mzee. Kuna mtu hapo juu alinituhumu kwa kuniambia mbona sijawaambia watu wakati nafasi imetangazwa? Kiukweli kabisa hii ilitangazwa kule linkedin na mtu alitakiwa kuomba online. Namaanisha unajaza details zako na ku attach cv na kutuma. Nimeangalia pale namba ya watu walioomba hii nafasi ni zaidi ya 200. Maana huwa inaonyesha pia number of apppicantsVizuri sana ukifanikiwa hata ukifanikiwa uje hapa utoe elimu maana watz wengi wakishaona kazi ya nje yenye competition au kwenye mashirika makubwa wanakimbia hatari. They take chances na huko nje kuna kazi nyingi, cha kushangaza wabongo hatuonekani ila watu wa asia na eastern europe na west africans na kwa EA wakenya. Wabongo tumelala tuko bize maneno kuliko vitendo