Nimeitwa kwenye interview vodacom

Nimeitwa kwenye interview vodacom

Coding mkuu especially r language and python
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema. Nimeitwa kwenye interview ya vodacom. Position ya Business Analyst (BA). Mwenye ABC's ya interview za vodacom ya hiyo postion anijuze
 
Coding mkuu especially r language and python
Mkuu hii nafasi walitaka mtu aliywsoma Business administration. Ila inasemekana excel ndio inatumika sna hapa kwenye data analysis
 
Ipo mkuu tena sana. Maana nilisoma nchi za wenzetu tangu primary
Kusoma nchi za wenzetu sio kigezo cha Kujua lugha ya malikia maana unaweza Kuwa ulisoma urusi au nchi Za kaarabu au france au latin america ambako nako lugha inasumbua. Lakini hapa hapa kuna watu hasa hasa Hawa watoto wa school bus wanatema yai ni hatari. Mwisho baadhi ya kazi zitahitaji basic english na skills kwa wingi
 
Kusoma nchi za wenzetu sio kigezo cha Kujua lugha ya malikia maana unaweza Kuwa ulisoma urusi au nchi Za kaarabu au france au latin america ambako nako lugha inasumbua. Lakini hapa hapa kuna watu hasa hasa Hawa watoto wa school bus wanatema yai ni hatari. Mwisho baadhi ya kazi zitahitaji basic english na skills kwa wingi
Sawa. Basi kingereza kipo cha kutosha tu. Maana ni language of instruction tangu primary kwangu
 
Sawa. Basi kingereza kipo cha kutosha tu. Maana ni language of instruction tangu primary kwangu
All the best..... Maana kufanikiwa kwako yaweza kuwa motisha kwa vijana wengine wenye matamanio katika fani yako heshima ya shule inatamaraki kupitia kwako
 
Thax mkuu. Maana shortlist imefanyika south africa. Kama ingefanyika hapa bongo sijui kama hata kwenye interview ningeitwa.
All the best..... Maana kufanikiwa kwako yaweza kuwa motisha kwa vijana wengine wenye matamanio katika fani yako heshima ya shule inatamaraki kupitia kwako
 
Vizuri sana ukifanikiwa hata ukifanikiwa uje hapa utoe elimu maana watz wengi wakishaona kazi ya nje yenye competition au kwenye mashirika makubwa wanakimbia hatari. They take chances na huko nje kuna kazi nyingi, cha kushangaza wabongo hatuonekani ila watu wa asia na eastern europe na west africans na kwa EA wakenya. Wabongo tumelala tuko bize maneno kuliko vitendo
Thax mkuu. Maana shortlist imefanyika south africa. Kama ingefanyika hapa bongo sijui kama hata kwenye interview ningeitwa.
 
Back
Top Bottom