Nimeitwa Interview shirika la Nestle Global nchini Ghana

Nimeitwa Interview shirika la Nestle Global nchini Ghana

Kama ni kazi ya kimataifa,waambie wagharamie kila kitu hadi passport,gharama za ndege kwenda na kurudi,kulala na chakula na usafiri wa ndani
Kama hawawezi we subiri unterview za hapa hapa nchini tu,nenda huko halafu mwisho wa siku kwenye interview mnajikuta kijiji kizima kimehamia hapo.au ukiute kampuni yenyewe haina uwezo wa kuajiri ,mgeni
Pia wasiliana na ubalozi uone kama hiyo kampuni ipo kweli au ni watoto wa mjini wanatengeneza mazingira ya kukupiga
 
Kwa ushauri wangu mik ntakushauri anzia ubalozi wa Ghana hapa Tanzania na waulize kuhusu hilo Tangazo na naimani kama ni tangazo halali watalupa ABC zake na kama ni utapeli pia watakwambia,ikiwa ni kweli watakupa njia za kufuata uende kwenye interview
 
Hii ikoje mkuu samahani nitonye kidogo ni nauli tu au?
Ukitaka kwenda Nigeria utahitaji VISA. Kwa Ghana, unajiondokea zako Tanzania na kuelekea huko….ukifika airport utaulizwa maswali kama utakaa siku ngapi, lengo la safari, jina la hotel, yellow fever certificate iko wapi….nauli yako tu mkuu.
 
Hapa utapata majibu ya mambo ya simba na yanga au diamond and zuchu ingia Chatgpt au deepseek au AI yeyeto itakupa majibu yote uyatakayo
 
Ukitaka kwenda Nigeria utahitaji VISA. Kwa Ghana, unajiondokea zako Tanzania na kuelekea huko….ukifika airport utaulizwa maswali kama utakaa siku ngapi, lengo la safari, jina la hotel, yellow fever certificate iko wapi….nauli yako tu mkuu.
Asante sana na vipi hali ya usalama huko
 
Google tu kwanza kuangalia Kama kampuni ni genuine. Unawezakuta watu wametengeneza copy ya kampuni unayohisi ndio.

WestAfricawalisha hafukwa na roho, utajikuta ni omba omba waacvra
Naunga mkono hawa Waghana walishawahi kutengeneza ubalozi feki wa Marekani wakitoa visa feki kwa kipindi cha miaka mitano bila kushtukiwa.

Umakini uwe mkubwa.
 
Back
Top Bottom