kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 681
- 1,283
Samahani wakuu katika harakati za ugonga ulimbo nilikuwa nafanya application ndani na nje ya nchi sasa niliomba kazi shirika la Nestle global nchini Ghana.
Nimepokea mwaliko wa interview huko Acra Ghana na ni oral interview kwa mimi mgonga ulimbo sijui hata nafikaje huko nilijua itakuwa zoom interview mwenye A B C za kuitwa interview za kimataifa anisaidie na namna ya kufika huko au niende ubalozi wa Ghana nchini Tanzania.
Nimeitwa interview position ya
Factory Hygienist position in Nestlé.
Taaluma yangu ni laboratory technologist ii
Natanguliza shukrani
Nimepokea mwaliko wa interview huko Acra Ghana na ni oral interview kwa mimi mgonga ulimbo sijui hata nafikaje huko nilijua itakuwa zoom interview mwenye A B C za kuitwa interview za kimataifa anisaidie na namna ya kufika huko au niende ubalozi wa Ghana nchini Tanzania.
Nimeitwa interview position ya
Factory Hygienist position in Nestlé.
Taaluma yangu ni laboratory technologist ii
Natanguliza shukrani