Nimeitwa interview NMB

Nimeitwa interview NMB

Nimekuelewa madege ila sikuulizia mshahala,niliuliza mshahara.Halafu sina wenge kama huna ajira na unastress nipm nikusaidie ila uwe umesoma course za business

eti huna wenge ndo wenge hilo sasa. kama umepagawa vile hadi unaulizia swala la mshahara humu ndani hata intetview hujafanya, labda ungekuwa umefanya afu ukaulizia hayo mawe sawa.

swala la stresss labda kwako mm nimejiajiri so sijawa na mawazo ya kuajiliwa kama wewe so sina stress kama ulivyo ww.

issue nyingine usifanye kuji ploud eti kama sina ajira nije kwako ila niwe nimesoma business. kama ww mwenyew unakimbilia huko nmb afu unataka kumpa ajira mtu unatoa wapi?

tena sio kila mwenye stress kimbilio lake ni ajila za vourse za business pekee?

hope nimesomekaaa......................
 
Nimeshaelewa nilichokuwa nahitaji,nawashukuru pia pamoja na wale ambao mapovu yanawatoka kuelezea kuwa masters si chochote na haina tija.Jumapili njema msisahau leo kuna mancherster derby
 
mbona una wenge wewe au ndo kupagawa ?maswala ya mshahara nenda hukohuko kama utapita basi utapatiwa mkataba na utaona mshahala wako. issue yenyewe ni jumatatu sasa ww unaona mbali au?

kesho ndio j3. usisahau ku
tuambia mshahara wako. just kidding...
 
mkuu, we nenda kapige interview kwa ufasaha wala usikatishwe tamaa na mtu yeyote. kwa sasa zingatia suala la interview tu...baada ya kufaulu interview maslahi yatawekwa wazi kwenye mkataba. kila la kheri mkuu.
 
eti huna wenge ndo wenge hilo sasa. kama umepagawa vile hadi unaulizia swala la mshahara humu ndani hata intetview hujafanya, labda ungekuwa umefanya afu ukaulizia hayo mawe sawa.

swala la stresss labda kwako mm nimejiajiri so sijawa na mawazo ya kuajiliwa kama wewe so sina stress kama ulivyo ww.

issue nyingine usifanye kuji ploud eti kama sina ajira nije kwako ila niwe nimesoma business. kama ww mwenyew unakimbilia huko nmb afu unataka kumpa ajira mtu unatoa wapi?

tena sio kila mwenye stress kimbilio lake ni ajila za vourse za business pekee?

hope nimesomekaaa......................

Hahaaaaa madege umesomeka,basi nipm nikushauri biashara ambazo pia nazifanya na bado naendelea kupiga kazi,yote hayo ni njia za kuongeza mkwanja tu
 
mkuu, we nenda kapige interview kwa ufasaha wala usikatishwe tamaa na mtu yeyote. kwa sasa zingatia suala la interview tu...baada ya kufaulu interview maslahi yatawekwa wazi kwenye mkataba. kila la kheri mkuu.

Sawa kaka tpaul
 
Back
Top Bottom