HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,704
- 48,140
Umeona eeeHaya tumekusikia, endelea tu kuwaita shem
Umeona eeeHaya tumekusikia, endelea tu kuwaita shem
Mwanang ww una akili kama mchwa safi sana TULIZANA waachie wenye mashoka,sululu,upinde,nondo, na visu waendelee kuwinda
Doing that for funny...
Uandishi wako tu unaonesha wewe ni mtu wa kaliba ipi, ningeshangaa hata huyo demu kama angekukubali.Kuna dem mkali nimekutana nae hapa sa nimemuita shem, sa anashangaa shem wapi wakati hanijui nikamwambia mwenzio sina hela sa watoto wazuri ka wewe naishia kuwaita shem.
Team_Division_5
kwani ungemwita mrembo au mtoto mzuri ina shida gani?...