Nimeingia wakuu

SURA SIO SOHO

Member
Joined
May 18, 2011
Posts
43
Reaction score
10
Baada ya Kutafakari kwa muda mrefu na kulitazama jamvi kwa upeo wa juu, NIMEAMUA KUJISAJILI,
Wana jamii forum naomba mnikaribishe:
 
Hapa ni siasa, kukaribishwa ingia mahali wanaita 'Members intro'
 
Kama walivyokuaeleza Bukanga na Gurta hapo juu, sina cha kuongeza ila karibu sana, unakunywa kinywaji gani?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…