Alphonce Mawazo
R I P
- Sep 10, 2013
- 335
- 471
- Thread starter
- #61
Mawazo anaiumiza maccm
kimyakimya huko vijijini. Hana mbwembwe kama wafagia ofisi na wabeba
mafaili ya padri slaa pale ufipa,kina ben sa8,molemo na mtoto wa baba wa
taifa,yericko. Big up kamanda,you deserve the crown.
Nashukuru kamanda,team work ndo mpango mzima,wengine wanapanda na
wengine wanapalilia,wengine wanamwagilia na wengine wanapulizia
dawa,wengine wanapanga mikakati makao makuu wengine tuko field,jeshi lote haliwezi kuwa field at a go,tutashinda.