Hello wanaJF wote. Nami nimeingia na nina hasira kidogo kwa wale wote wanaoididimiza nchi hii. Kwa hivyo nitakuwa sina mchezo hata kidogo -- naomba ushirikiano. hasa nawataka wale wanafiki -- watetezi wa mafisadi -- kaeni chonjo!
Karibu sana Kafaribangi,eeh inaonekana umepandisha mori sana,kabla ya kuanza kuwashambulia hao unaodai ni watetezi wa mafisadi,soma sheria za JF zina semaje usije jikuta una angukia lupango bure.
Hello wanaJF wote. Nami nimeingia na nina hasira kidogo kwa wale wote wanaoididimiza nchi hii. Kwa hivyo nitakuwa sina mchezo hata kidogo -- naomba ushirikiano. hasa nawataka wale wanafiki -- watetezi wa mafisadi -- kaeni chonjo!
Hello wanaJF wote. Nami nimeingia na nina hasira kidogo kwa wale wote wanaoididimiza nchi hii. Kwa hivyo nitakuwa sina mchezo hata kidogo -- naomba ushirikiano. hasa nawataka wale wanafiki -- watetezi wa mafisadi -- kaeni chonjo!