Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Juzi nilikua maeneo ya Buguruni mishale ya saa sita usiku nikipata moja moto, moja baridi. Baada ya kilaji kukolea mbele yangu kulikuwa na kidada, nikajiexpress akanielewa, alitaka 20,000 ya kazi yake na chumba juu yangu.
Kituko: Tulipofika Guest binti alipandisha sketi na kulala kisha kunitaka nifanye fasta fasta hata bila ya maandalizi ya aina yeyote yale.
Nilipotaka kumgusa aliniambia natakiwa kulipia tena kitendo ambacho sikukubaliana nacho, baada ya kuona hivyo alianza kunipa kashfa kuwa mimi nitakuwa aina ya vidume ambao hawafanyi kazi mpaka wapigwe vidole vya masabur kitu ambacho kilinikata stimu na hata hamu ya kupanda ilitoweka.
Kwenu wadau: Je huwa mnawala vipi dizaini ya watu kama hawa?
Na huwa mnajikoki huko huko na mkifika kwa chumba unapanda mlima bila kunywa maji?
Naomba maoni yenu wadau ili next time nisiwe mgeni na haya mambo.
Kituko: Tulipofika Guest binti alipandisha sketi na kulala kisha kunitaka nifanye fasta fasta hata bila ya maandalizi ya aina yeyote yale.
Nilipotaka kumgusa aliniambia natakiwa kulipia tena kitendo ambacho sikukubaliana nacho, baada ya kuona hivyo alianza kunipa kashfa kuwa mimi nitakuwa aina ya vidume ambao hawafanyi kazi mpaka wapigwe vidole vya masabur kitu ambacho kilinikata stimu na hata hamu ya kupanda ilitoweka.
Kwenu wadau: Je huwa mnawala vipi dizaini ya watu kama hawa?
Na huwa mnajikoki huko huko na mkifika kwa chumba unapanda mlima bila kunywa maji?
Naomba maoni yenu wadau ili next time nisiwe mgeni na haya mambo.