Big jay
Member
- Mar 14, 2013
- 96
- 33
Heshima kwenu wakuu,
Me Mtanzania mwenzenu nimepatwa na janga la aina yake! Kwa hapa nilipo, nipo nje ya nchi, wakati naondoka nilimwacha wife nyumbani, baada ya kukaa kdg kwa kua wife ni mjamzito alienda nyumbani kwetu. Pale home kulibaki mama mwenye nyumba na wapangaji wenzangu, so week tatu sasa yapita wezi waliingia wakabeba vitu kama Radio, Tv, Home theater n.k. ila basi wapangaji wenzangu wakampa taarifa wife na wife akanijuza mimi.
Sasa cha ajabu ni nini, nimepigiwa simu leo wife anadai ATM Cards hazioni pale tuwekapo na zoote ni zangu mie. Nipo nimeshindwa nifanyaje kwani nahis ziliibwa pia, naogopa kama n nitakuta hamna kitu kwenye akaunti zangu na wakati huu mgumu.
Nisaidieni nifanyaje jamani
Me Mtanzania mwenzenu nimepatwa na janga la aina yake! Kwa hapa nilipo, nipo nje ya nchi, wakati naondoka nilimwacha wife nyumbani, baada ya kukaa kdg kwa kua wife ni mjamzito alienda nyumbani kwetu. Pale home kulibaki mama mwenye nyumba na wapangaji wenzangu, so week tatu sasa yapita wezi waliingia wakabeba vitu kama Radio, Tv, Home theater n.k. ila basi wapangaji wenzangu wakampa taarifa wife na wife akanijuza mimi.
Sasa cha ajabu ni nini, nimepigiwa simu leo wife anadai ATM Cards hazioni pale tuwekapo na zoote ni zangu mie. Nipo nimeshindwa nifanyaje kwani nahis ziliibwa pia, naogopa kama n nitakuta hamna kitu kwenye akaunti zangu na wakati huu mgumu.
Nisaidieni nifanyaje jamani