Nimeibiwa Cards za Bank

Nimeibiwa Cards za Bank

Big jay

Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
96
Reaction score
33
Heshima kwenu wakuu,

Me Mtanzania mwenzenu nimepatwa na janga la aina yake! Kwa hapa nilipo, nipo nje ya nchi, wakati naondoka nilimwacha wife nyumbani, baada ya kukaa kdg kwa kua wife ni mjamzito alienda nyumbani kwetu. Pale home kulibaki mama mwenye nyumba na wapangaji wenzangu, so week tatu sasa yapita wezi waliingia wakabeba vitu kama Radio, Tv, Home theater n.k. ila basi wapangaji wenzangu wakampa taarifa wife na wife akanijuza mimi.

Sasa cha ajabu ni nini, nimepigiwa simu leo wife anadai ATM Cards hazioni pale tuwekapo na zoote ni zangu mie. Nipo nimeshindwa nifanyaje kwani nahis ziliibwa pia, naogopa kama n nitakuta hamna kitu kwenye akaunti zangu na wakati huu mgumu.

Nisaidieni nifanyaje jamani
 
Nenda Benk husika Kalipoti ili wazifunge hizo kadi, kisha utaenda kalipoti Polis kuandikisha vitu ulivyoibiwa ikiwemo na hizo kadi.

Polisi watakupa barua ambayo utaenda nayo benk kwa udhibisho kuwa kweli umeibiwa Na benk wanataendelea na mchakato wa kukutengenezea kadi mpya.
Ushauri:
Wai mapema polisi huwezi kujua wahalifu watafanyia nini hizo kadi, wanaweza kuvamia sehemu au kuua mtu kisha wakadondosha kadi yako ili ionekane wewe Ndio umehusika.
 
Kama ni crdb, wape taarifa, mwizi atakapojaribu kuitumia ktk ATM machine yeyote ya crdb itampiga picha na hatimaye itarahisisha upelelezi.
Sina uhakika na banks zingine.
 
Nenda Benk husika Kalipoti ili wazifunge hizo kadi, kisha utaenda kalipoti Polis kuandikisha vitu ulivyoibiwa ikiwemo na hizo kadi.

Polisi watakupa barua ambayo utaenda nayo benk kwa udhibisho kuwa kweli umeibiwa Na benk wanataendelea na mchakato wa kukutengenezea kadi mpya.
Ushauri:
Wai mapema polisi huwezi kujua wahalifu watafanyia nini hizo kadi, wanaweza kuvamia sehemu au kuua mtu kisha wakadondosha kadi yako ili ionekane wewe Ndio umehusika.

Unayempa ushauri yupo nje ya nchi..sasa inabid apande ndege aje tz akatoe taarifa polis na benk harafu apande tena ndege na kurudi ughaibuni??. Au ulikua unamaanisha nini ndugu!
 
Aendemkewe hiyobenki watamsaidia nakamaukikuta imepungua anzanamke. mtuhimiwa wa kwanza usiwaaminisanaaa
 
Unaweza kumtuma wife awasiliane na benki husika. Pia waweza ingia website ya benki yako ukatoa taarifa kwa maelekezo yaliyomo ndani ya website. Ni vyema ukafanya hivyo haraka. Muda ni muhimu Sana.
 
Unaposema ATM cards zote ni zako inamaana wezi wameiba zako tuu na za wife wako hawajaiba......afu kwanini usiwasiliane na bank husika ili wafunge hizo accnts kwa issue kama hii mpaka uombe ushauri
 
Kama ni crdb, wape taarifa, mwizi atakapojaribu kuitumia ktk ATM machine yeyote ya crdb itampiga picha na hatimaye itarahisisha upelelezi.
Sina uhakika na banks zingine.

Asnte mkuu leo nipo napanda leo kuja home
 
Unaweza kumtuma wife awasiliane na benki husika. Pia waweza ingia website ya benki yako ukatoa taarifa kwa maelekezo yaliyomo ndani ya website. Ni vyema ukafanya hivyo haraka. Muda ni muhimu Sana.

Ni kweli mkuu uwizi umefanyika ni zaidi ya week tatu sasa ila ijumaa hii ya juzi ndio imefahamika kwamba na card hazipo ningekua na uwezo wa kuingia kwa web yao kweli ningefanya hivyo mapema hofu ni kwamba mda umeenda sana nahisi kuonewa!
 
Aendemkewe hiyobenki watamsaidia nakamaukikuta imepungua anzanamke. mtuhimiwa wa kwanza usiwaaminisanaaa

Wife kachoka yupo mwishoni kujifungua but kesho nitakuwapo hapo mapema asubuhi hofu ni mda kama jamaa wamechukua ndani ya week 3 itakua ziro
 
Nenda Benk husika Kalipoti ili wazifunge hizo kadi, kisha utaenda kalipoti Polis kuandikisha vitu ulivyoibiwa ikiwemo na hizo kadi.

Polisi watakupa barua ambayo utaenda nayo benk kwa udhibisho kuwa kweli umeibiwa Na benk wanataendelea na mchakato wa kukutengenezea kadi mpya.
Ushauri:
Wai mapema polisi huwezi kujua wahalifu watafanyia nini hizo kadi, wanaweza kuvamia sehemu au kuua mtu kisha wakadondosha kadi yako ili ionekane wewe Ndio umehusika.

Asante mkuu kwa mashauri kesho Mungu akijalia asubuhi nitakua hapo
 
Yan kweli ccm imetudumaza yan mtz mwenye familia mpk leo anaibiwa halafu hajui la kufanya eti anaomba ushauri, jamani hebu tuweni serious
 
wife kachoka yupo mwishoni kujifungua but kesho nitakuwapo hapo mapema asubuhi hofu ni mda kama jamaa wamechukua ndani ya week 3 itakua ziro
nipm nikusindikize mpwa
 
Nitajie ni ATM za Benk zipi, na jina majina yako kamili, na MWISHO namba za siri za kila moja nione kama naweza kukusaidia!
 
Hata Pdidy anadanganyika kindezi hivi na habari uchwara kama hii! Kweli waTZ tunapendana (mpaka hatuoni)!
 
Aisee pole,vile vijisenti vyako milion 90 bado vimo au shemeji alivitoa akaenda navyo kwa ajili ya kununua ndizi eeee
 
Back
Top Bottom