Nimehuzunishwa sana na chama cha walimu

Nimehuzunishwa sana na chama cha walimu

mumak

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
1,069
Reaction score
670
Kiukweli mim ni miongoni mwa wahitimu wa fani ualimu ambao nimeitimu miaka miwili iliyopita, kwa hiki kilichojitokeza leo kimeniuzunisha sana na kunikatisha tamaa kama mwalimu mtarajiwa kwani nilitegemea chama kitumie nafasi hii ya kukutana na viongozi wa serikali kuwakumbusha wimbi la walimu wahitimu waliomtaani kusubilia ajira, lakini wao waliochoona ni kukumbushia madai yao pekee bila kuangalia wahitimu ambao badae watakua wanachama wao, hivyo ubinafsi walio tufanyia umetukatisha tamaa sana kwa kweli.
 
Kila mtu huwaza tumbo lake kwanza,pambana na hali halisi hii ndo nchi yetu.
 
Fanyeni mpango mfungue vi tuition au hata vi day care muwe mayaya tu,mana hamna jinsi tena...Mkuu anataka viwanda sio elimu.
 
Wewe ndo wale walimu wenye vyeti feki???


Inamaana hujaskia rais alipokua anaongelea ajira mpya za walimu ambazo wamezitangaza na wanazotarajia kuzitangaza au ulitaka uombewe ajira personally kama wewe ni mwalimu kweli basi kazi ipo
 
Kiukweli mim ni miongoni mwa wahitimu wa fani ualimu ambao nimeitimu miaka miwili iliyopita,kwa hiki kilichojitokeza leo kimeniuzunisha sana na kunikatisha tamaa kama mwalimu mtarajiwa kwani nilitegemea chama kitumie nafasi hii ya kukutana na viongozi wa serikali kuwakumbusha wimbi la walimu wahitimu waliomtaani kusubilia ajira, lakini wao waliochoona ni kukumbushia madai yao pekee bila kuangalia wahitimu ambao badae watakua wanachama wao,hivyo ubinafsi walio tufanyia umetukatisha tamaa sana kwakweli.

Acheni mambo ya udaku udaku, kwa hiyo CWT wangelisema hilo ndio ingeonekana wamefanya kazi ya kutetea kada ya ualimu? Unataka kutuambia hayo waliyoyasema ndiyo mara ya kwanza na kwamba ni mapya? Unaelewa nini juu ya kauli za kujirudiarudia za Rais kuwa anayafahamu matatizo ya walimu?

Tunaumia wote kama nchi wasomi wetu wanapokosa ajira hilo liko wazi lakini siyo vizuri kuilaumu CWT kuwa haikuyasemea matatizo hayo.
 
Hivi vyama vya wafanyakazi huwa havina kazi yoyote ni maneno tu ndio mengi pamoja na michango.
 
Acheni mambo ya udaku udaku, kwa hiyo CWT wangelisema hilo ndio ingeonekana wamefanya kazi ya kutetea kada ya ualimu? Unataka kutuambia hayo waliyoyasema ndiyo mara ya kwanza na kwamba ni mapya? Unaelewa nini juu ya kauli za kujirudiarudia za Rais kuwa anayafahamu matatizo ya walimu?
Tunaumia wote kama nchi wasomi wetu wanapokosa ajira hilo liko wazi lakini siyo vizuri kuilaumu CWT kuwa haikuyasemea matatizo hayo.
Mkuu ayo ni maoni yangu uzuri sijamtukana mtu wala sijaongea baya lolote zaidi ya kutoa maoni binafsi hivyo heshim maoni ya mwenzio nawe kama unalakuchangia au maoni ruksa chamsingi usitumie lugha ya kuuzi au kumzalilisha mwenzio ni kosa.
 
Back
Top Bottom