Mfia ajira huyu..Unamchukia Magufuli ana uhusiano gani na wewe kuwaandalia madogo chai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani unashindwa kuelewa,tatizo sio Magufuli,tatizo ni mfumo wa elimu yetu.Kwa bahati mbaya tumerithi mfumo wa elimu wa wakoloni,ambao nia yake ilikuwa kutengeneza employees,who I call slaves.Sasa huko nyuma ajira zilikuwa nyingi,kwa hiyo kila mtu aliweza kuajiriwa.As time went on however,ajira zikawa scarse.Katika hali kama hii mkuu,hatuna alternative,isipokuwa kujiajiri.Sasa hili kama nilivyosema sio kosa la Magufuli,ni kosa la mfumo,kumlaumu Magufuli ni kukosea.Basi kama ni hivyo marais wa awamu ya pili tatu na nne walaumiwe maana ndizo awamu ambapo ajira zilikuwa issue.Kwa Mwalimu Nyerere fortunately kila aliyekuwa na "qualifications" alipata ajira.Kweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi ya Gardaward. Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
"Ha ha ha ha the Medical Team bila shaka, mbona naskia mnaramba parefu mkuu, shida ni kutenga chai au mkwanja!?Kweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi ya Gardaward. Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
Hupendi raia walambe ajira?Kikwete aliwadekeza Sana,,unamaliza chuo miezi michache post zinatoka za kazi serikali ,huo Ni uzembe mkubwa,
Sasa Ni kazi tu,,,ya kulima
Napenda
Wewe itakuwa shule ulienda kusomea ujinga.Kweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi ya Gardaward. Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
Endelea kupambana mkuu. Every one's story differsNimetamani nikupe like Kama 1000000 mkuu.
Ila pale kwenye usioe ni vipi kwa Mimi ambaye nimeshaoa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo unaamini the universe owes you.
Yani unaamini kwa kuwa una degree basi kuna hadhi/status flani dunia inabidi ikupe.
Yaani uliaminisha ukisoma ukawa na degree dunia itakulipa kwa kukupa maisha mazuri.
The world owes no one. You take what you can get from it.
Do not ask what the world should do for you, ask what you shall do for the world. Ongeza thamani kwenye maisha ya mtu, pesa itakuja kwako kama response.
Zalisha mali, zalisha huduma. Tumia elimu yako kurenovante existing businesses na kuziongezea thamani. Tumia connections zako. Tazama kila opportunity inayopita kwako hata kama ni ndogo sana.
Punguza mzigo. Usizae. Usioe. Usiwe na mpenzi. Pambana, alone.
Mindset ya kuwa you deserve something haitakufanya upambane.
Kweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi ya Gardaward. Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
Kuna nyakati zaja ambazo dunia itakuwa na wasomi kuliko kawaida na ajira zisiwepo.Marehemu Ali Mufuruki alitupa rai, akasema kwa wale wanaojiona wasomi, wasione shida kufanya kazi wanayofikiri iko chini ya usomi wao na uwezo wao, ilimradi iwe halali na inaleta kipato, na waitumie hiyo kazi kujiinua mpaka wapate uwezo wa kufanya wanachotaka.
Waingereza walisema, half a bread is better than nothing.
Akilalamikia kazi ya kutengea watu chai, akumbuke hajalazimishwa, anaweza kuacha akae bench bila kazi kabisa, halafu alinganishe hali.
Sent using Jamii Forums mobile app