MVB Jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 489
- 1,553
Mfia ajira huyu..Unamchukia Magufuli ana uhusiano gani na wewe kuwaandalia madogo chai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajifikirie tu kuna pipo ngapi kitaa zinatusua na hawana hako kakaratasi anakojibaraguza amepata..
Wasio na kakaratasi, wako hatua mbili nyuma kuwa ktk nafasi ya kusaidiwa na Magufuli kama mtoa mada anavyodhani..
Wasio na kakaratasi wanajua kitu kimoja, adui wa maendeleo ya mtu ni mtu binafsi.. Wanapambana kumshinda huyo na si porojo za "namchukia raisi.." maana hazisaidii..
Ukishaanza weka ego za nina kakaratasi fulani ni shida..!!