AUGUSTINO CHIWINGA
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 220
- 689
Wapinzania wanaota ndoto za kuitoa CCM madarakani lakini wasichojua ni kwamba,
CCM ni imani.
CCM ni ushindi kila siku .
CCM ni madhubuti.
CCM haijawahi kukosea.
Ukiichukia CCM ichukie at your own risk.
Mwenyekiti wetu mpendwa Mh.Dr.John Pombe Magufuli aliposema CCM itatawala milele alisema ukweli ukweli kabisa.
Hakuna upinzani utakaokuja sio leo hat karne 300 zijazo utakao kuwa na mabavu ya kuing'oa CCM madarakani.
CCM ilikuwepo ,ipo na itaendelea kuwepo.
Wanaodhania labda eti siku moja CCM itaondoka madarakani watapata taabu sana.
Augustino Chiwinga.
0659438889
CCM ni imani.
CCM ni ushindi kila siku .
CCM ni madhubuti.
CCM haijawahi kukosea.
Ukiichukia CCM ichukie at your own risk.
Mwenyekiti wetu mpendwa Mh.Dr.John Pombe Magufuli aliposema CCM itatawala milele alisema ukweli ukweli kabisa.
Hakuna upinzani utakaokuja sio leo hat karne 300 zijazo utakao kuwa na mabavu ya kuing'oa CCM madarakani.
CCM ilikuwepo ,ipo na itaendelea kuwepo.
Wanaodhania labda eti siku moja CCM itaondoka madarakani watapata taabu sana.
Augustino Chiwinga.
0659438889