Unafiki wa Wanasiasa Wapinzani, Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania Sura ya 1

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Kuna nyuzi mbalimbali nimekuwa nikielezea mara nyingi dhana nzima ya uchaguzi na namna wapinzania wanavyochukulia suala la uchaguzi.

Binafsi nmekuwa nikisema bila kificho KWA KATIBA HII CCM ITATAWALA MIAKA 50 Mingine ijayo bila shida na Wapinzani wanafahamu.

Nliuliza mara kadhaa wanapoingia kwenye uchaguzi wa Rais na Ubunge mwaka 2020. Wanategemea nini?maana kiukweli kama kuna wapinzania wanategemea kuiondoa CCM mwaka 2020 na miaka mingine ijayo kwa katiba hii.hao ni wabaya,waovu,wanafiki na wachawi hawafai ni bora CCM ibaki madarakani.

Ndiyo.haiwezekani kabisa mpinzani wa ukweli mwenye akili timamu akaamini CCM itaondoka madarakani kwa katiba hii.Mwaka 1995 Mch Christopher Mtikila alimwambia jambo hili Augustine Mrema.Ndg Mrema wa miaka ile (roho yake iwekwe mahali pema peponi) alipokuwa hai kwenye siasa hakumwelewa Mtikila.akagoma.kilichotokea kinafahamika.leo hii tuna mabaki ya Mrema katika siasa.

Haya mambo yanafahamika kwa Uwazi kabisa.kwa nini msumbue wananchi na kuhatarisha maisha yao?Viongozi wa Upinzani hamna mapenzi mema na wananchi. Mlipowahamasisha wakajiandikishe mlitegemea wakampigie nani kura?

Nlionya kuwa kipindi hiki mngenyamaza mwachie CCM ijishindie kwa kishindo ninyi mnusuru maisha ya watu wenu.hamkunisikiliza

Leo nyuzi nyingi zimejaa wapinzani wanalalamika Fouls nyingi wanazochezewa na Referee haoni. Wanakatwa mapanga,form zao zinapotezwa,forms zao zinakataliwa na makando kando mengi zaidi.

Niulize. Kweli mlitegemea mambo yangeenda smooth?basi hamna akili.haya ni manyunyu.uchaguzi wa mwaka 2020 utakuwa mbaya zaidi.hiyo ndo itakuwa masika.kama mna upinzani wa kweli kwa maslahi ya watanzania.nusuruni maisha ya watu wenu.msiangalie tu posho mtakazo jilipa wakati wa kampeni.

Angalieni maisha ya watanzania hawa maskini, angalie damu itakayomwaga ya watanzania hawa maskini.for nothing.nasisitiza for nothing.sababu hakuna chochote mtakachoweza kufanya.

Nashauri tena.Acheni unafiki.HAKUNA UPINZANI UTAKAOCHUKUA URAIS KWA KATIBA HII. DAINI KATIBA. MAANDAMANO YA MSINGI YALIYOBAKI KWA HIVI SASA NI MADAI YA KATIBA. HAKUNA MENGINE.

WANASIASA SASA ANZENI KUJALI MAISHA YA WAPIGA KURA WENU.msijiangalie ninyi tu.tumechoka na hashtags zisizoleta tija. Acheni CCM ije kushindana yenyewe kwa yenyewe.kinachowapa CCM umoja kwa hivi sasa ni Uwepo wa Upinzani.Kama kwenye uchaguzi upinzani utakaa pembeni CCM watatafuta mtu wa kumchukia,kumbagua na kumnyanyasa.Atapatikana CCM humo humo.
 
Wanafanya siasa za mitandaoni na wananchi wa kweli wapo mitaani hawana simu....

Wanapambana na hashtag... Roho inaniuma

Mimi hadi nmeamua nikae kimya... Shida wapinzani ukijaribu kuwaeleza jambo utaona watakavyokuja juu

Yaani juu mno... Jamani sisi wengine ni wazalendo hatuna chama cha kisiasa

Tutakosoa popote pale tutakapoona pana shida

Utaaona hapa watakavyomvaa gudume

Wanachezeshwa ngoma na ccm na wanacheza mfano hii ishu ya benard membe kugombea uraisi 2. Kuzushiwa kwa kifo cha meko 3. Ishu za kina idris

Kumbuka hapo kuna ishu muhimu za uchaguzi... Achaneni na drama za ccm... Kuweni straight forwarded
 
Kuna nyuzi mbalimbali nimekuwa nikielezea mara nyingi dhana nzima ya uchaguzi na namna wapinzania wanavyochukulia suala la uchaguzi.

Binafsi nmekuwa nikisema bila kificho KWA KATIBA HII CCM ITATAWALA MIAKA 50 Mingine ijayo bila shida na Wapinzani wanafahamu.

Nliuliza mara kadhaa wanapoingia kwenye uchaguzi wa Rais na Ubunge mwaka 2020. Wanategemea nini?maana kiukweli kama kuna wapinzania wanategemea kuiondoa CCM mwaka 2020 na miaka mingine ijayo kwa katiba hii.hao ni wabaya,waovu,wanafiki na wachawi hawafai ni bora CCM ibaki madarakani.

Ndiyo.haiwezekani kabisa mpinzani wa ukweli mwenye akili timamu akaamini CCM itaondoka madarakani kwa katiba hii.Mwaka 1995 Mch Christopher Mtikila alimwambia jambo hili Augustine Mrema.Ndg Mrema wa miaka ile (roho yake iwekwe mahali pema peponi) alipokuwa hai kwenye siasa hakumwelewa Mtikila.akagoma.kilichotokea kinafahamika.leo hii tuna mabaki ya Mrema katika siasa.

Haya mambo yanafahamika kwa Uwazi kabisa.kwa nini msumbue wananchi na kuhatarisha maisha yao?Viongozi wa Upinzani hamna mapenzi mema na wananchi. Mlipowahamasisha wakajiandikishe mlitegemea wakampigie nani kura?

Nlionya kuwa kipindi hiki mngenyamaza mwachie CCM ijishindie kwa kishindo ninyi mnusuru maisha ya watu wenu.hamkunisikiliza

Leo nyuzi nyingi zimejaa wapinzani wanalalamika Fouls nyingi wanazochezewa na Referee haoni. Wanakatwa mapanga,form zao zinapotezwa,forms zao zinakataliwa na makando kando mengi zaidi.

Niulize. Kweli mlitegemea mambo yangeenda smooth?basi hamna akili.haya ni manyunyu.uchaguzi wa mwaka 2020 utakuwa mbaya zaidi.hiyo ndo itakuwa masika.kama mna upinzani wa kweli kwa maslahi ya watanzania.nusuruni maisha ya watu wenu.msiangalie tu posho mtakazo jilipa wakati wa kampeni.

Angalieni maisha ya watanzania hawa maskini, angalie damu itakayomwaga ya watanzania hawa maskini.for nothing.nasisitiza for nothing.sababu hakuna chochote mtakachoweza kufanya.

Nashauri tena.Acheni unafiki.HAKUNA UPINZANI UTAKAOCHUKUA URAIS KWA KATIBA HII. DAINI KATIBA. MAANDAMANO YA MSINGI YALIYOBAKI KWA HIVI SASA NI MADAI YA KATIBA. HAKUNA MENGINE.

WANASIASA SASA ANZENI KUJALI MAISHA YA WAPIGA KURA WENU.msijiangalie ninyi tu.tumechoka na hashtags zisizoleta tija. Acheni CCM ije kushindana yenyewe kwa yenyewe.kinachowapa CCM umoja kwa hivi sasa ni Uwepo wa Upinzani.Kama kwenye uchaguzi upinzani utakaa pembeni CCM watatafuta mtu wa kumchukia,kumbagua na kumnyanyasa.Atapatikana CCM humo humo.
Gudume hakuna ''mpinzani'' anayeweza kukemea hili, wenyewe wamebadili vifungu vya katiba za vyama vyao ili watawale milele. Narudia hakuna mwenye ''moral authority''.
 
Kuna nyuzi mbalimbali nimekuwa nikielezea mara nyingi dhana nzima ya uchaguzi na namna wapinzania wanavyochukulia suala la uchaguzi.

Binafsi nmekuwa nikisema bila kificho KWA KATIBA HII CCM ITATAWALA MIAKA 50 Mingine ijayo bila shida na Wapinzani wanafahamu.

Nliuliza mara kadhaa wanapoingia kwenye uchaguzi wa Rais na Ubunge mwaka 2020. Wanategemea nini?maana kiukweli kama kuna wapinzania wanategemea kuiondoa CCM mwaka 2020 na miaka mingine ijayo kwa katiba hii.hao ni wabaya,waovu,wanafiki na wachawi hawafai ni bora CCM ibaki madarakani.

Ndiyo.haiwezekani kabisa mpinzani wa ukweli mwenye akili timamu akaamini CCM itaondoka madarakani kwa katiba hii.Mwaka 1995 Mch Christopher Mtikila alimwambia jambo hili Augustine Mrema.Ndg Mrema wa miaka ile (roho yake iwekwe mahali pema peponi) alipokuwa hai kwenye siasa hakumwelewa Mtikila.akagoma.kilichotokea kinafahamika.leo hii tuna mabaki ya Mrema katika siasa.

Haya mambo yanafahamika kwa Uwazi kabisa.kwa nini msumbue wananchi na kuhatarisha maisha yao?Viongozi wa Upinzani hamna mapenzi mema na wananchi. Mlipowahamasisha wakajiandikishe mlitegemea wakampigie nani kura?

Nlionya kuwa kipindi hiki mngenyamaza mwachie CCM ijishindie kwa kishindo ninyi mnusuru maisha ya watu wenu.hamkunisikiliza

Leo nyuzi nyingi zimejaa wapinzani wanalalamika Fouls nyingi wanazochezewa na Referee haoni. Wanakatwa mapanga,form zao zinapotezwa,forms zao zinakataliwa na makando kando mengi zaidi.

Niulize. Kweli mlitegemea mambo yangeenda smooth?basi hamna akili.haya ni manyunyu.uchaguzi wa mwaka 2020 utakuwa mbaya zaidi.hiyo ndo itakuwa masika.kama mna upinzani wa kweli kwa maslahi ya watanzania.nusuruni maisha ya watu wenu.msiangalie tu posho mtakazo jilipa wakati wa kampeni.

Angalieni maisha ya watanzania hawa maskini, angalie damu itakayomwaga ya watanzania hawa maskini.for nothing.nasisitiza for nothing.sababu hakuna chochote mtakachoweza kufanya.

Nashauri tena.Acheni unafiki.HAKUNA UPINZANI UTAKAOCHUKUA URAIS KWA KATIBA HII. DAINI KATIBA. MAANDAMANO YA MSINGI YALIYOBAKI KWA HIVI SASA NI MADAI YA KATIBA. HAKUNA MENGINE.

WANASIASA SASA ANZENI KUJALI MAISHA YA WAPIGA KURA WENU.msijiangalie ninyi tu.tumechoka na hashtags zisizoleta tija. Acheni CCM ije kushindana yenyewe kwa yenyewe.kinachowapa CCM umoja kwa hivi sasa ni Uwepo wa Upinzani.Kama kwenye uchaguzi upinzani utakaa pembeni CCM watatafuta mtu wa kumchukia,kumbagua na kumnyanyasa.Atapatikana CCM humo humo.
Mkuu wangefuta ruzuku kwanza,wengi wamelogwa na ruzuku wakasahahu kazi ya msingi ya vyama vya upinzani ni kutwaa madaraka.Lakini ni ngumu hata kuota kutwaa uraisi sababu mazingira sio rafiki.
 
Kuwa na msimamo baba salehe utaitwa mama salehe kwa kukengeuka

Tulieni na siasa zenu za hastag

State agent
Wanafanya siasa za mitandaoni na wananchi wa kweli wapo mitaani hawana simu....

Wanapambana na hashtag... Roho inaniuma

Mimi hadi nmeamua nikae kimya... Shida wapinzani ukijaribu kuwaeleza jambo utaona watakavyokuja juu

Yaani juu mno... Jamani sisi wengine ni wazalendo hatuna chama cha kisiasa

Tutakosoa popote pale tutakapoona pana shida

Utaaona hapa watakavyomvaa gudume

Wanachezeshwa ngoma na ccm na wanacheza mfano hii ishu ya benard membe kugombea uraisi 2. Kuzushiwa kwa kifo cha meko 3. Ishu za kina idris

Kumbuka hapo kuna ishu muhimu za uchaguzi... Achaneni na drama za ccm... Kuweni straight forwarded
 
Kuna uzi ulianzishwa jana na dada anaitwa sky eclat akihimiza watu kwenda kupiga kura. Nimesema wazi kabisa vyama vya upinzani kama vyama washiriki ili idadi ndogo ya wapiga kura ionekane. Lakini vyama vya upinzani vijikite zaidi kudai tume huru ya uchaguzi na vitangaze rasmi havitashiriki uchaguzi wowote mpaka ipatikane tume huru ya uchaguzi.

Ushauri wangu kwenye kupatikana kwa tume huru ni huu, kuanzia mwaka kesho mwezi machi mpaka wiki ya mwisho vya uchaguzi mkuu, kila mwanzo wa mwezi au mwisho wa mwezi kuwe na maandamano ya amani ya viongozi wote wa upinzani, au wananchi kadiri itakavyofaa Na wiki ya mwisho kabla ya uchaguzi mkuu kuwe na maandamano ya wiki nzima wangalau masaa 3-6 kwa siku kama hakuna muafaka. Hali hii itasababisha hata kama kutakuwa na uchaguzi utakuwa na watu wachache sana, itaharibu taswira ya nchi kimataifa kwenye upande wa demokrasia, kutakuwepo na mgawanyiko wa jamii kwani madai ya tume huru yatakuwa ni ya halali. Kubwa kuliko yote hata kama Magufuli atafanikiwa kurudi madarakani, hii nia yake ya kutaka kukaa madarakani zaidi ya miaka 10 itakuwa ngumu, kwani tayari atakuwa na mbinyo wa ndani na nje ya nchi. Pia ni rahisi kupatikana kwa tume huru baada ya yeye kumaliza muda wake kwakuwa tayari jamii itakuwa imegawika.
 
Shida kubwa wanafanya siasa kwenye kila kitu.mimi siku zote naweka wazi.si mfuasi wa chama au mwanasiasa yeyote.nipo huru na nitakemea na kupongeza bila hiyana. Nimeamua tu niwe MWANATANU. NITASEMA UKWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.

Wapinzani wanahangaika na mambo madogo sana huku CCM ikifanya mambo itakavyo.kweli watu wanahangaika na habari za mtu ambaye hata hawamfahamu anasema Rais kafariki au yupo mahututi wanafanya agenda?ni aibu sana.

Wanafanya siasa za mitandaoni na wananchi wa kweli wapo mitaani hawana simu....

Wanapambana na hashtag... Roho inaniuma

Mimi hadi nmeamua nikae kimya... Shida wapinzani ukijaribu kuwaeleza jambo utaona watakavyokuja juu

Yaani juu mno... Jamani sisi wengine ni wazalendo hatuna chama cha kisiasa

Tutakosoa popote pale tutakapoona pana shida

Utaaona hapa watakavyomvaa gudume

Wanachezeshwa ngoma na ccm na wanacheza mfano hii ishu ya benard membe kugombea uraisi 2. Kuzushiwa kwa kifo cha meko 3. Ishu za kina idris

Kumbuka hapo kuna ishu muhimu za uchaguzi... Achaneni na drama za ccm... Kuweni straight forwarded
 
Kuna uzi ulianzishwa jana na dada anaitwa sky eclat akihimiza watu kwenda kupiga kura. Nimesema wazi kabisa vyama vya upinzani kama vyama washiriki ili idadi ndogo ya wapiga kura ionekane. Lakini vyama vya upinzani vijikite zaidi kudai tume huru ya uchaguzi na vitangaze rasmi havitashiriki uchaguzi wowote mpaka ipatikane tume huru ya uchaguzi.

Ushauri wangu kwenye kupatikana kwa tume huru ni huu, kuanzia mwaka kesho mwezi machi mpaka wiki ya mwisho vya uchaguzi mkuu, kila mwanzo wa mwezi au mwisho wa mwezi kuwe na maandamano ya amani ya viongozi wote wa upinzani, au wananchi kadiri itakavyofaa Na wiki ya mwisho kabla ya uchaguzi mkuu kuwe na maandamano ya wiki nzima wangalau masaa 3-6 kwa siku kama hakuna muafaka. Hali hii itasababisha hata kama kutakuwa na uchaguzi utakuwa na watu wachache sana, itaharibu taswira ya nchi kimataifa kwenye upande wa demokrasia, kutakuwepo na mgawanyiko wa jamii kwani madai ya tume huru yatakuwa ni ya halali. Kubwa kuliko yote hata kama Magufuli atafanikiwa kurudi madarakani, hii nia yake ya kutaka kukaa madarakani zaidi ya miaka 10 itakuwa ngumu, kwani tayari atakuwa na mbinyo wa ndani na nje ya nchi. Pia ni rahisi kupatikana kwa tume huru baada ya yeye kumaliza muda wake kwakuwa tayari jamii itakuwa imegawika.
Tatizo akili yako unaijua mwenye! Kikubwa ni katiba kabla ya tume ya uchaguzi huru
 
nchi itakombolewa na wananchi watakapochoka na utawala wa CCM, pindi watakapokua hawana matumaini wala cha kupoteza, kwasasa kila mtu anajali maslahi yake.
 
Linapokuja suala la mtanzania kumwagwa damu yake kwa sababu ya siasa moyo huwa unaniuma,tena wanasiasa wenyewe wanafiki Kama nini,leo kachaguliwa chama hiki kwa wananchi kujitolea maisha yao,huyo huyo mwanasiasa uchwara anageuza mawazo kwenda chama kingine,wengine wanabadili gia kwa hewa,,unadhani wananchi wajinga kiasi hicho,kwa hiyo hatuna wapinzani saizi ila wachumia tumbo ndio wamejazana ambao wananchi wameamua kuwasusia.
 
Tatizo akili yako unaijua mwenye! Kikubwa ni katiba kabla ya tume ya uchaguzi huru

Uko sahihi, ukiangalia kwenye post zangu nimekuwa nikitaka vyote tume huru ya uchaguzi au katiba mpya. Lakini tume huru inaweza kuwa rahisi zaidi ya hiyo katiba. Na mimi kusema tume huru sina popote niliposema kusiwe na katiba mpya. Labda useme ikipatikana tume huru, automatically hakutakuwa na katiba mpya.
 
Huu ushauri unapaswa kuchukuliwa na upinzani kama kweli wanadhamira ya dhati juu ya ukombozi wa nchi hii, key word *katiba mpya*
 
Wanafanya siasa za mitandaoni na wananchi wa kweli wapo mitaani hawana simu....

Wanapambana na hashtag... Roho inaniuma

Mimi hadi nmeamua nikae kimya... Shida wapinzani ukijaribu kuwaeleza jambo utaona watakavyokuja juu

Yaani juu mno... Jamani sisi wengine ni wazalendo hatuna chama cha kisiasa

Tutakosoa popote pale tutakapoona pana shida

Utaaona hapa watakavyomvaa gudume

Wanachezeshwa ngoma na ccm na wanacheza mfano hii ishu ya benard membe kugombea uraisi 2. Kuzushiwa kwa kifo cha meko 3. Ishu za kina idris

Kumbuka hapo kuna ishu muhimu za uchaguzi... Achaneni na drama za ccm... Kuweni straight forwarded

Mkuu bila kupinga maoni yako mazuri na yenye wingi wa busara. Inaonekana umetoa maoni yako kwa kutumia wingi fulani au pia umenasa kwenye mtego wa propaganda za kichovu kuwa wapinzani hawataki ushauri, sikulaumu kwa hilo maana ndio hali halisi. Hii ya kusema wanasiasa za mitandaoni, je ni wapi kwa sasa unaweza kusimama na kutoa maoni yako ya kipinzani ukabaki salama? Unasema mitandaoni ndiko walikojikita, huenda ni kweli lakini hilo limechangiwa na uwanja wa siasa kuminywa na huku pekee kuwa uwanja huru. Hata hivyo ni lini watu wote wamewahi kuelewa zaidi ya kundi fulani na kisha kuwa chachu ya wengi?

Hiyo ya kusema ukiwapa ushauri watakuvaa, sio kweli labda uje na ushauri usio na mashiko, hata hivyo bado huku mitandaoni sio ofisi rasmi ya vyama vya upinzani bali ni platform huru za watu kutoa maoni yao. Hayo maoni yako ungeyatuma kwenye email rasmi ya chama kisha wakakujia juu hapo huu utetezi wako ungekuwa na nguvu. Vinginevyo hizi lawama zako ni za kufuata mkumbo ili ionekane na ww unaenda na fashion ya kusema wapinzani hawataki maoni/ushauri. Ni vyema unapotoa maoni yako ukaacha kutumia wingi ambao ni dhahiri upo kama wa bendera fuata upepo.
 
Shida kubwa wanafanya siasa kwenye kila kitu.mimi siku zote naweka wazi.si mfuasi wa chama au mwanasiasa yeyote.nipo huru na nitakemea na kupongeza bila hiyana. Nimeamua tu niwe MWANATANU. NITASEMA UKWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO.

Wapinzani wanahangaika na mambo madogo sana huku CCM ikifanya mambo itakavyo.kweli watu wanahangaika na habari za mtu ambaye hata hawamfahamu anasema Rais kafariki au yupo mahututi wanafanya agenda?ni aibu sana.

Una maoni mazuri sana kama ya baba Swalehe ila umenasa kwenye neno na utetezi ulioko kwenye fashion wa hivi sasa kuwa wapinzani wanapinga kila kitu. Nikishaona mtu kama ww mwenye maoni mazuri kisha unasema wapinzani wanapinga kila kitu nakuona ni bendera fuata upepo usiyejua kutenganisha propaganda na ukweli. Nitajie siku umeona mpinzani anayepinga ujenzi wa barabara, elimu bure au vituo vya afya. Kwenye ndege kuna ukosoaji mkubwa, hivi ni kweli hujui ukosoaji au upangaji uko kwenye eneo gani?

Huo uzushi, ni lini umeona taarifa rasmi ya chama ikishabikia huo uzushi, ni kweli hujui tofauti ya maoni ya chama na mashabiki wa chama mitandaoni? Humu mitandaoni kila anayetoa maoni anawakilisha msimamo wa chama? Jitahidi ukitoa maoni yalenge sehemu sahihi na sio kutoa lawama za kufuata mkumbo.
 
Uko sahihi, ukiangalia kwenye post zangu nimekuwa nikitaka vyote tume huru ya uchaguzi au katiba mpya. Lakini tume huru inaweza kuwa rahisi zaidi ya hiyo katiba. Na mimi kusema tume huru sina popote niliposema kusiwe na katiba mpya. Labda useme ikipatikana tume huru, automatically hakutakuwa na katiba mpya.
Katika maisha hakuna tume huru! Au TFF huru! Kwa vile kama ni mpenzi wa mpira hapa TZ lazima uwe aidha yanga au simba (si vinginevyo hata ukiwa shabiki wa pyramids au mwadui tunajua chimbuko). Cha muhimu anatakiwa Magufuli ahakikishe kabla ya 2025 arejeshe katiba ya warioba, ngonjera za tume huru ni utoto
 
Back
Top Bottom