mikila miwili
JF-Expert Member
- Dec 14, 2021
- 563
- 555
- Thread starter
- #141
Eti 'wake zenu wa ndoa wanaongoza kwa kuchoropoa mkigombana', hao si wake, ni Malaya kama Malaya wengine, waliojificha kwenye chaka la ndoa. Na Mungu alivyo fundi huwaumbua vibaya sana na hata hawakawizi. Narudia, hao ni malaya tu, tena wengi wanaoolewa siku hizi ni malaya wanao fake tabia ili waingie ndoani.Mtaacha sana wanawake, ila Hilo ni jambo la kawaida hata aliyekuleta ukute alishatoa nyingi tu wewe hujui, hafu hata masturbation ni dhambi ya uuaji, soma biblia uone, hata hao wake zenu wa ndoa ndio vinara kwa kuchoropoa mkigombana mara kwa mara, acheni kujiona malaika nyie
Kuhusu mama yangu kutoa mimba nyingi, hilo halinihusu, ni la yeye na mzee. Kama walikubaliana ni kivyao, ni maisha yao, na mimi naishi maisha yangu na sitaki mtu alete pua yake!