Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo

Mtaacha sana wanawake, ila Hilo ni jambo la kawaida hata aliyekuleta ukute alishatoa nyingi tu wewe hujui, hafu hata masturbation ni dhambi ya uuaji, soma biblia uone, hata hao wake zenu wa ndoa ndio vinara kwa kuchoropoa mkigombana mara kwa mara, acheni kujiona malaika nyie
Eti 'wake zenu wa ndoa wanaongoza kwa kuchoropoa mkigombana', hao si wake, ni Malaya kama Malaya wengine, waliojificha kwenye chaka la ndoa. Na Mungu alivyo fundi huwaumbua vibaya sana na hata hawakawizi. Narudia, hao ni malaya tu, tena wengi wanaoolewa siku hizi ni malaya wanao fake tabia ili waingie ndoani.

Kuhusu mama yangu kutoa mimba nyingi, hilo halinihusu, ni la yeye na mzee. Kama walikubaliana ni kivyao, ni maisha yao, na mimi naishi maisha yangu na sitaki mtu alete pua yake!
 
Wengine hutoa hata hawasemi na hutakaa ujue, so hata ndoani atatoa tu hata single mother wanaoamua kuzaa before hutoa nyingi tu mzee. So hili swala haliongelewi ila 99% washafanya kimya kimya na wewe unajifariji tu moyoni
Sio kwa mimi, kwani unafikiri huyu alisema kama ana mimba? Yaani ni mwendo wa shuruti na mbinu za ki-Mossad tu na za CIA, ukiona mpaka nimejua ujue nimefanya kazi nzito.

Mimi hata usiponiambia(na sihitaji hata uniambie) kama uliwahi au ulitoa mimba tukiwa kwenye mahusiano au vyovyote, NITAJUA TU YAANI, NA NIKIJUA HICHO NILICHOANDIKA KWENYE UZI NDICHO KITU NINACHOFANYA'GA'.
 
Nimejifunza jambo, Kwamba Wakati Mwingine inabidi utumie lugha ambayo unayezungumza naye atakuelewa Kwa Urahisi. Nafikiri unatatizo Kubwa sana kwenye KUFIKIRIA BILA MIHEMUKO NA LENGO LA KUHUKUMU. Jifunze kutazama mambo Kwa Uhalisia bila kuweka hisia na ubinafsi.Huku Ukiwa unajificha kwenye nadharia hasi ya "UANAUME" .
Moja wewe Una Ujinga wa KUHUKUMU. Mfano unaposema
( wewe huna familia na hujui namna bora ya kuanzisha familia ) tayari umeni hukumu
Hili tatizo nafikiri ni mpaka uende kwa Njia za Mafundisho ya Kiimani ndo utaweza Kuelemika na kuwa HURU.
Pili umeudhiirishia umma namna idea zako kuhusu Ndoa na Malezi zilivyo MBAYA hasa Karne hii ya 21 Kwa kufikiria Kwamba mwanamke unamwoa kwa ajili ya Kuzaa na kukulelea watoto kwa kauli hii ni kama hujui JUKUMU LAKO KWENYE MALEZI kwamba watoto hulelewa na wazazi na sio mzazi. Mfano unaposema
(na kukulelea wanao )
Tatu Hujui unasimama kwenye nini na haya ni madhara ya Kutanguliza hisia, sikuwa mjinga kukuambia ujitazame wewe kwanza kabla ya kujipa mamlaka na mihemuko ya Historia za wengine. Mfano hapa unaposema;

(zingekuwa za huyu kusingekuwa na lawama kosa lingekuwa alitoa mimba so tungeshauri namna ya ku-solve tatizo)
Huu ni Unafiki wa hali ya juu...Kumbe wewe Mimba yako kutolewa ni Swala linalosameheka UMEKUWA KITUKO! mkuu
Nne Wewe Sasa nimegundua Afya ya Akili yako haiko sawa Kwani umeshindwa kutambua mimi nimekuwa nikisimamia nini kutoka mwanzo mpaka sasa Nakukumbusha Tena Msimamo wangu ni Huu WEWE HUNA mamlaka ya KUHUKUMU vinginevyo na wewe matendo yako pia yaanikwe tukupatie nawewe Hukumu yako...Japo ni dhahiri kupitia maneno yako tu HALI YAKO NI MBAYA!
Mwisho Kabisa Sifaa kuu ya Kuwa mwanaume ni Kuweza kumfanya Mwanamke Na Mtoto katika Jamii nzima wawe salama. Bila kujali ni wa nani.
Na Hapa hujui lolote kabisa, Kulingana na haya maneno yako mwenyewe unaposema.................................................sifa za dada zako kwenye post zako mbili hapo juu zisikutoe kwenye rail ya uanaume,mwanaume anayefikiria sawasawa anaweza kukufikiria vibaya........ )
Jifunze KUONGOZANA na Mwanamke na Sio kuwaburuza kwa mawazo ya kishenzi na Kibaguzi huku ukijilinda na kutoruhusu kuonekana kuwa kama binadamu wa kawaida hujakamilika. Hakuna mwanamke Asiyekuwa Mke bora Shida ni kuwa Jamii imejawa na Wanaume ambao vichwa vyao ni vibovu, Wanao fikiria kutembea na Wanawake wengi sana ili mwisho wakaoe Bikra. Kiukweli HUFAI KUWA KIONGOZI! Hata wa maisha yako binafsi...
Mzee una internal conflict(mgogoro wa nafsi) nini? Umeandika as if umekata tamaa ya kuishi
 
Huyo mnamhukumu kwa kuwa amekuwa mkweli na muwazi. Unajuaje huyo mpya akayekuja kumuoa yeye ametoa mimba ngapi? Ukitafuta mwanamke malaika wa kuoa, dunia hii hutaoa kabisa. Alikosea kama wengine na bado anaweza kuwa mke mzuri tu!
Wanawake na wanaume decent wastaarabu waliolelewa na ku maintain maadil yao licha ya maisha kuwa harsh WAPO tena WAPO SANAAAA na bado watakuwepo mpaka dunia inaisha.....kwakifup WANAPATIKANA na WANAOA/WANAOLEWA daily.

Mmeathirika sana na ukosefu wa maadil na watu wanaowazunguka na mnaojihsisha nao ni wa hovyo possibly ndio maan mnadhan wote wako hivyo
 
Sijajua kama ulinisoma tokea mwanzo mkuu ndio maana sijakujibu vibaya popote.
Mimi sikubaliani na utoaji wa mimba isipokuwa pale tu itakapolazimika kufanywa hivyo kwa sababu za Kiafya.
Ninachopinga ni Sisi wanaume Kusimama upande wa kutoa HUKUMU Bila kufikiria kwamba Utoaji wa Mimba ni Process ndefu ya uvunjwaji wa maadili inayoanzia kwenye kusex kabla ya ndoa Kutokuwa mwaminifu nk
Ambapo kote huko sisi wanaume tunahusika moja kwa moja wakati mwingine tunawapa mpaka fedha za kutekeleza Azma hiyo....
Hapo nakuunga mkono, upo sahihi. Hujatumia mihemko ya kihisia kama kwenye quotes zako zingine huko huu. Hapa umetumia akili, tofauti na quote zako za juu.

Pamoja na haya yote, mimi sikum cheat, japo hakuwa akiniridhisha katika vitu fulani fulani, nilivumilia. Ila yeye akani cheat, tena akapata mimba mbili na kuzitoa zote kimya kimya. Hiki kitu kwangu hapana, na hakina msamaha.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Eti 'wake zenu wa ndoa wanaongoza kwa kuchoropoa mkigombana', hao si wake, ni Malaya kama Malaya wengine, waliojificha kwenye chaka la ndoa. Na Mungu alivyo fundi huwaumbua vibaya sana na hata hawakawizi. Narudia, hao ni malaya tu, tena wengi wanaoolewa siku hizi ni malaya wanao fake tabia ili waingie ndoani.

Kuhusu mama yangu kutoa mimba nyingi, hilo halinihusu, ni la yeye na mzee. Kama walikubaliana ni kivyao, ni maisha yao, na mimi naishi maisha yangu na sitaki mtu alete pua yake!
Mkuu utatukana matusi yote ila haibadilishi kuwa huchotopoa na wewe unayeishi na malaya unakuwa na matatizo kuliko yeye
 
Sio kwa mimi, kwani unafikiri huyu alisema kama ana mimba? Yaani ni mwendo wa shuruti na mbinu za ki-Mossad tu na za CIA, ukiona mpaka nimejua ujue nimefanya kazi nzito.

Mimi hata usiponiambia(na sihitaji hata uniambie) kama uliwahi au ulitoa mimba tukiwa kwenye mahusiano au vyovyote, NITAJUA TU YAANI, NA NIKIJUA HICHO NILICHOANDIKA KWENYE UZI NDICHO KITU NINACHOFANYA'GA'.
Sasa kwa wazoefu hutakaa ujue maana wao ni zaidi ya Mossad na hata huyo kukiri alikuwa hakupendi alitaka tu ukimbie zako
 
Umefanya maamuzi mapema mno. Issue ya kutoa mimba kwa wanachuo sio jambo la kushangaza mpaka uamue kuvunja uchumba.

Maisha ya chuoni kwa wanawake ni harsh sana. Kama hukuwa na ugomvi wowote mwingine naye bi afsi naona umefanya mamuzi mabaya.
Sio la kushangaza!!!!!
 
Sasa kwa wazoefu hutakaa ujue maana wao ni zaidi ya Mossad na hata huyo kukiri alikuwa hakupendi alitaka tu ukimbie zako
Hata huyu alikuwa ni zaidi ya Mossad ila nimejua, huyu si wa kwanza. Nishajua kwa wawili huko nyuma. Nikiamua kujua najua tu tena situmii nguvu nguvu nyingi. Upo hapo?


Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hahah watu kupenda attention za kijinga basi wame side na madem wa JF

Peleka kwenu mwanamke halafu mwambie mzee huyu mchumba wangu kashatoa mimba mara mbili tukiwa kwenye mahusiano, tena waambie kwamba hizo mimba zote sio zako then subiri reaction ya wazee wako 😂

Mnataka kufurahisha madem ikiwa mnajuwa fika mkiwa wahusika nanyi mtafanya kama alichokifanya mtoa mada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom